Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Temporary,njoo tafsiri hiki chukia chako chako sepaaaa.Mshawahi kufanya kazi alafu unasema humjui.
Inawezekana kweli maana mjini sasa hivi kutembea na kiki ni kama fashion. Anasema ni mwanasheria kama wanasheria wengine, hamjui zaidi ya kumpa kazi na wakamalizana.Mshawahi kufanya kazi alafu unasema humjui.
Wakati Yanga inalumbana na Fei ligi ilikuwa kwenye hatua gani. Tukumbushe😄Msimu ukianza tu Simba wanaanza kulumbana!
Ilikua nusu fainali shirikishoWakati Yanga inalumbana na Fei ligi ilikuwa kwenye hatua gani. Tukumbushe😄
Huwezi kuchagua lini utachokozwa. Mfano jirani anamega kipande chako cha Ardhi unasema ngoja nisubiri nitamuuliza December maana saa hizi Niko busy na mitihani ya BODI. UTO waanzishe hata Tuition shabiki wengi ni weupe .Ilikua nusu fainali shirikisho
Malizaneni na striker wenu hatari mwenye goli moja msimu mzima ligi ikianza hatutaki lawama kwa mzee wenu MangunguHuwezi kuchagua lini utachokozwa. Mfano jirani anamega kipande chako cha Ardhi unasema ngoja nisubiri nitamuuliza December maana saa hizi Niko busy na mitihani ya BODI. UTO waanzishe hata Tuition shabiki wengi ni weupe .
Bil 2.7 zinamhusu. Na nyie kabidhini timu Kwa Magoma Moto 😂Malizaneni na striker wenu hatari mwenye goli moja msimu mzima ligi ikianza hatutaki lawama kwa mzee wenu Mangungu
Kama Yanga ya Hersi imewapiga 5 ya Magoma mtakula doubleBil 2.7 zinamhusu. Na nyie kabidhini timu Kwa Magoma Moto 😂
Kibu kichwani hamna kitu,Licha ya pesa but Elimu inaumuhumu sana kwakweli
Huyu chizi anaenda kujimaliza mwenyewe