Kibu Denis anapaswa kulaaniwa na kila mpenda soka

Mbona fei toto hakulaaniwa. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha mfyuuu
 
Hili somo wana simba ilikuwa mjifunze wakati wa ishu ya Fei ila mkatanguliza ushabiki mbele mkaacha kanuni za soka nyuma.

Sasa unaposema watu wakemee bila kujali ni shabiki wa timu gani unakuwa na maana gani?
 
Na ndiyo hiyo hiyo iliwafanya mumtamani hadi kumuingiza chaka mrundi wa watu, watu wabaya sana nyie sasa mnamcheka ujinga tu.
Ujinga ni kushangilia kwenye mkutano mkuu wa timu propaganda badala ya kujadili mambo ya msingi,haya next season mkiwa wa nne msilie lie,Sijui Mwamedi sijui Ngugo boy....mtulie
 
Apewe nafasi nyingine
 
Ujinga ni kushangilia kwenye mkutano mkuu wa timu propaganda badala ya kujadili mambo ya msingi,haya next season mkiwa wa nne msilie lie,Sijui Mwamedi sijui Ngugo boy....mtulie
Tutavuka daraja tukilifilia mambo ya ramli bakini nayo huko kwenye pori la utopolo.
 
kwanini alaaniwe jamani ??kosa lake ni lipi?? kama mtu hawataki kwanini mnamlazimishaaa?? muacheni kijana wawatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…