Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndio aliomba, Simba ikafanya ku assist tu.Eti mlimuombea na uraia wenyewe
Angekuwepo Chama nadhani Mgunda anhechezesha single Striker...
Hata mimi nimeyasema hayo kwenye uzi wa update wa mechi ya leoMkuu utakuwa unaota ndoto ya mchana mweupe yaani Singida big star anampa point 6 utopolo fc bila kupepesa macho yaani raundi hii ya kwanza na ya pili pia,japo ni timu ya hapa nyumbani lkn ukweli ndio huo
Kabisa, ukiwaangalia waliopo benchi hakuna hata mmoja wa kubadili matokeo.
Gape la point 2? Safari hii hatuchezi mbali na hz mbili wakizubaa tunawashusha. Hata wakishinda hiko kiporo chao itakua 29 na sisi mchezo mwingie 27.Angekuwepo Chama nadhani Mgunda anhechezesha single Striker
Nimeona tangu Chama apatwe na adhabu, Mgunda amekuwa akilazimika kuchezesha washambuliaji wawili...
Gape ni point 5 ikiwa Yanga atashinda viporo vyakeGape la point 2? Safari hii hatuchezi mbali na hz mbili wakizubaa tunawashusha. Hata wakishinda hiko kiporo chao itakua 29 na sisi mchezo mwingie 27.
Kwa hiyo aanze kuandika sledi JF?Huyu jamaa imefika wakati sasa ajiongeze kwa kujifunza fani nyingine maana mpira wa miguu umemshinda.
Hana akili ya mpira na muda wote anaangalia chini. Hata akiachwa na goli wazi hana uwezo wa kufunga.