Kibu Denis mamilion ya Simba yamemchanganya anahiyaji msaada wavushauri nasaha mapema yasimkute ya Mwisho Mwampamba au Idrisa Sultan

Kibu Denis mamilion ya Simba yamemchanganya anahiyaji msaada wavushauri nasaha mapema yasimkute ya Mwisho Mwampamba au Idrisa Sultan

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Huwezi kumwekea milion 200 kijana aliyekulia kambi ya wakimbizi bila kumuongoza.

Kibu anahitaji washauri kabla ya kuwekewa mzigo kama ilivyo kwa Aziz ki au kijana yoyote kama Feitoto.

Wote mnamuita Mama au Baba mnamshauri nini afanye. Madhara ya starehe na kilakitu ndio mnaweka mzigo.

Viongozi simba hawakuangalia hilo waliweka mzigo tu wakajua tayari.

Sasa anatumbua tu fedha marekani mpaka zipungue ndio akumbuke kazi. Anachokifanya kibu ndicho kilichomkuta mwampamba wa Big brothers. Yeye m 100 tu akaamia kwa wema Sepetu.

Au Idrisa Sultan unaambiwa kati ya m 200 alizoshinda big Brothers Aliishia kufahamu tu matumizi ya milion Tano za mwisho hahaah.

Kibu ni wa kumuonea huruma ata dili la ulaya uyo hataenda mpaka mzigo ukate.

Wacheza soka wote wakubwa wanaopokea mabilion kama Ronaldo, Mbape, Hakim bado wako monitad ama na mama Zao au wazazi wote wawili. Ela zinachanganya bana.

Watu wanastafu wanapata m 60 tu wanaenda kuoa ka binti ka miaka 16 au 21. Ela isikia tu jamani.
 
Huwezi kumwekea milion 200 kijana aliyekulia kambi ya wakimbizi bila kumuongoza.

Kibu anahitaji washauri kabla ya kuwekewa mzigo kama ilivyo kwa Aziz ki au kijana yoyote kama Feitoto.

Wote mnamuita Mama au Baba mnamshauri nini afanye. Madhara ya starehe na kilakitu ndio mnaweka mzigo.

Viongozi simba hawakuangalia hilo waliweka mzigo tu wakajua tayari.

Sasa anatumbua tu fedha marekani mpaka zipungue ndio akumbuke kazi. Anachokifanya kibu ndicho kilichomkuta mwampamba wa Big brothers. Yeye m 100 tu akaamia kwa wema Sepetu.

Au Idrisa Sultan unaambiwa kati ya m 200 alizoshinda big Brothers Aliishia kufahamu tu matumizi ya milion Tano za mwisho hahaah.

Kibu ni wa kumuonea huruma ata dili la ulaya uyo hataenda mpaka mzigo ukate.

Wacheza soka wote wakubwa wanaopokea mabilion kama Ronaldo, Mbape, Hakim bado wako monitad ama na mama Zao au wazazi wote wawili. Ela zinachanganya bana.

Watu wanastafu wanapata m 60 tu wanaenda kuoa ka binti ka miaka 16 au 21. Ela isikia tu jamani.
Msimamizi wa Kibu Dennis, Rashid Yazid wa Kampuni ya Football Fraternity amefunguka mapya juu ya sakata la mshambuliaji huyo wa Simba Sc ambapo amesema kuwa nyota huyo ameshawishiwa na ametoroshwa kwenda nje ya Nchi.

“ Kama mlivyoiona taarifa, klabu imekuwa confused kuhusu wapi alipo mchezaji. Siku tatu nyuma nilikosa mawasiliano na mchekeshaji, nikawa na maswali, viongozi wananiuliza yupo wapi mchezaji!” —— Yazid

“Jana tumepata uhakika zaidi kuwa mchezaji yupo Ulaya. Jana ndio ameondoka airport kwenda Ulaya, lakini Mimi nilikuwa najua yeye yupo Kigoma kwa matatizo ya kifamilia.”

“Mchezaji ameshawishiwa na ametoroshwa kwenda Ulaya, mchezaji hana ‘technical know how’ yeye ni mtaalamu wa mpira! ameshawishiwa na kufanya mipango ya kuondoka kwenda Ulaya.”

“Kilichotokea ni utovu wa nidhamu kwanza yeye kwenda Kigoma kwenda kumuuguza mzazi wake hakutoa taarifa kabla baadaye mimi niliitaarifu klabu juu ya suala la matatizo yake ya kifamilia.... Taarifa za kuuguliwa na mzazi alizitoa kwa kiongozi Simba ambaye sio sahihi.”

“Mimi ndiye ninayetambulika na Simba Sc, nimeanza kumsimamia kuanzia dili lake la kwanza Simba Sc, awali nilikuwa mwanasheria ya Kibu tu kabla ya Jamal (aliyekuwa wakala wake) kunikabidhi baada ya kuwa na majukumu mengine nje ya Nchi.” ——Yazid

#KitengeSports
 
Msimamizi wa Kibu Dennis, Rashid Yazid wa Kampuni ya Football Fraternity amefunguka mapya juu ya sakata la mshambuliaji huyo wa Simba Sc ambapo amesema kuwa nyota huyo ameshawishiwa na ametoroshwa kwenda nje ya Nchi.

“ Kama mlivyoiona taarifa, klabu imekuwa confused kuhusu wapi alipo mchezaji. Siku tatu nyuma nilikosa mawasiliano na mchekeshaji, nikawa na maswali, viongozi wananiuliza yupo wapi mchezaji!” —— Yazid

“Jana tumepata uhakika zaidi kuwa mchezaji yupo Ulaya. Jana ndio ameondoka airport kwenda Ulaya, lakini Mimi nilikuwa najua yeye yupo Kigoma kwa matatizo ya kifamilia.”

“Mchezaji ameshawishiwa na ametoroshwa kwenda Ulaya, mchezaji hana ‘technical know how’ yeye ni mtaalamu wa mpira! ameshawishiwa na kufanya mipango ya kuondoka kwenda Ulaya.”

“Kilichotokea ni utovu wa nidhamu kwanza yeye kwenda Kigoma kwenda kumuuguza mzazi wake hakutoa taarifa kabla baadaye mimi niliitaarifu klabu juu ya suala la matatizo yake ya kifamilia.... Taarifa za kuuguliwa na mzazi alizitoa kwa kiongozi Simba ambaye sio sahihi.”

“Mimi ndiye ninayetambulika na Simba Sc, nimeanza kumsimamia kuanzia dili lake la kwanza Simba Sc, awali nilikuwa mwanasheria ya Kibu tu kabla ya Jamal (aliyekuwa wakala wake) kunikabidhi baada ya kuwa na majukumu mengine nje ya Nchi.” ——Yazid

#KitengeSports
Ndio maana nasema mamilion ndio yamemchanganya kwenye ac
 
Huwezi kumwekea milion 200 kijana aliyekulia kambi ya wakimbizi bila kumuongoza.

Kibu anahitaji washauri kabla ya kuwekewa mzigo kama ilivyo kwa Aziz ki au kijana yoyote kama Feitoto.

Wote mnamuita Mama au Baba mnamshauri nini afanye. Madhara ya starehe na kilakitu ndio mnaweka mzigo.

Viongozi simba hawakuangalia hilo waliweka mzigo tu wakajua tayari.

Sasa anatumbua tu fedha marekani mpaka zipungue ndio akumbuke kazi. Anachokifanya kibu ndicho kilichomkuta mwampamba wa Big brothers. Yeye m 100 tu akaamia kwa wema Sepetu.

Au Idrisa Sultan unaambiwa kati ya m 200 alizoshinda big Brothers Aliishia kufahamu tu matumizi ya milion Tano za mwisho hahaah.

Kibu ni wa kumuonea huruma ata dili la ulaya uyo hataenda mpaka mzigo ukate.

Wacheza soka wote wakubwa wanaopokea mabilion kama Ronaldo, Mbape, Hakim bado wako monitad ama na mama Zao au wazazi wote wawili. Ela zinachanganya bana.

Watu wanastafu wanapata m 60 tu wanaenda kuoa ka binti ka miaka 16 au 21. Ela isikia tu jamani.
Amerogwa huyu Mkongomani
 
Maamuzi mabovu kayafanya kama hajatoa taarifa kwenye club yake
 
Safii na hayo ndio matumizi sahihi ya pesa bila kujali watu walisema,,wanasema na watasema nini.
 
Back
Top Bottom