Kibu Denis siyo mjinga, Kuna jambo halipo sawa hapo kati ya Simba na Kibu

Kibu Denis siyo mjinga, Kuna jambo halipo sawa hapo kati ya Simba na Kibu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Wengi wanaona kama Kibu hana ustaarabu anawafanyia Simba uhuni.

Nimejiridhisha Kuna kitu hakipo sawa na Kibu anaenda kuwavua nguo viongozi waongo wa Simba mbele ya mashabiki wao.

Kibu Ali sain pre contract na akahaidiana na Viongozi wa Simba kuwa atasaini wakikamilisha baadhi ya matakwa ya kimkataba, Simba wakakaa kimya, Kibu akaamua achukue hata ya kusaka timu ULAYA na UARABUNI.

Tujiulize yaani Kibu awe na mkataba wa million 760 then aukimbie akalipwe sh ngap.

Leo amkataa mwanasheria pandikizi la Simba lililowekwa kumchafua Kibu akijinadi ndo wakala wake Leo Kibu kamkataa, kwanini Simba waweke pandikizi kuzungumza mambo ya uongo?

Tujiulize yani Kibu amekuwa mjinga akatae management yake, hii sio kweli.

Viongozi wa Simba semeni ukweli, Kuna nini acheni kuwadanganya ati Kibu mlimpa mkataba, pre contract sio mkataba wa kutamba nao,
Kaeni kimya Kibu akafanye kazi ULAYA
 
Wengi wanaona kama Kibu hana ustaarabu anawafanyia Simba uhuni.

Nimejiridhisha Kuna kitu hakipo sawa na Kibu anaenda kuwavua nguo viongozi waongo wa Simba mbele ya mashabiki wao.

Kibu Ali sain pre contract na akahaidiana na Viongozi wa Simba kuwa atasaini wakikamilisha baadhi ya matakwa ya kimkataba, Simba wakakaa kimya, Kibu akaamua achukue hata ya kusaka timu ULAYA na UARABUNI.

Tujiulize yaani Kibu awe na mkataba wa million 760 then aukimbie akalipwe sh ngap.

Leo amkataa mwanasheria pandikizi la Simba lililowekwa kumchafua Kibu akijinadi ndo wakala wake Leo Kibu kamkataa, kwanini Simba waweke pandikizi kuzungumza mambo ya uongo?

Tujiulize yani Kibu amekuwa mjinga akatae management yake, hii sio kweli.

Viongozi wa Simba semeni ukweli, Kuna nini acheni kuwadanganya ati Kibu mlimpa mkataba, pre contract sio mkataba wa kutamba nao,
Kaeni kimya Kibu akafanye kazi ULAYA
Inawezekana
 
Simba ndio wana final say ya kuruhusu auzwe au asiuzwe..hakuna klabu ya ulaya ipo tayari kupelekwa CAS kwaa kusajili mchezaji mwenye mkataba na timu nyingine.

Rejea kesi ya mshambuliaji wa ghana u-17 sadick Adam mwaka 2007 baada ya kusajiliwa na Etoile du sahel ya Tunisia baada ya kombe la mataifa ya Africa u-17, Kisha baada ya World cup nchini Korea ,akasainiwa na atletico Madrid ya Hispania. Nini kiliikuta atletico Madrid na mchezaji mwenyewe pindi walipopelekwa katika mahakama ya FIFA.

Kwahiyo Simba haina presha, wanamuacha ahangaike wee ila mwisho atarudi klabuni na kutaka idhini ya kuuzwa hapo ndipo atakapojua nini maana ya UBAYA UBWELA.
 
Simba ndio wana final say ya kuruhusu auzwe au asiuzwe..hakuna klabu ya ulaya ipo tayari kupelekwa CAS kwaa kusajili mchezaji mwenye mkataba na timu nyingine.

Rejea kesi ya mshambuliaji wa ghana u-17 sadick Adam mwaka 2007 baada ya kusajiliwa na Etoile du sahel ya Tunisia baada ya kombe la mataifa ya Africa u-17, Kisha baada ya World cup nchini Korea ,akasainiwa na atletico Madrid ya Hispania. Nini kiliikuta atletico Madrid na mchezaji mwenyewe pindi walipopelekwa katika mahakama ya FIFA.

Kwahiyo Simba haina presha, wanamuacha ahangaike wee ila mwisho atarudi klabuni na kutaka idhini ya kuuzwa hapo ndipo atakapojua nini maana ya UBAYA UBWELA.
Hajasain mkataba na Simba Ile ilikuwa pre contract ambapo alipewa malipo ya nyuma
 
Official statement ya Simba inasema kuwa uongozi ulishamkamilishia stahiki zake zote na alishasaini ila kwa utovu wake wa nidhamu akatunga sababu za uongo ili asifike kazini.
Sio kweli hana mkataba
Ali sain pre contract.
Yaani kishika uchumba tu, Sasa anatazama ustaarabu wake.
Mashabiki wa Simba mbona mnaongopewa hata kufikiri hamwezi
 
Sio kweli hana mkataba
Ali sain pre contract.
Yaani kishika uchumba tu, Sasa anatazama ustaarabu wake.
Mashabiki wa Simba mbona mnaongopewa hata kufikiri hamwezi
Wengi figisu za Simba/Yanga hawazijui wao ni kuangalia tu boli kutoka Azam hao jamaa wote ni ndugu wana figisu sio za Dunia hii ukiwaamini jua ni Tura wa mwisho..
 
Simba haina uwezo wa kutoa 760M kwa kibu....ukweli usemwe ngozi nyeusi tunajuana
 
  • Thanks
Reactions: K11
Simba ipi ya kumlipa mchezaji 760m zote acheni uongo Chama kaondoka Simba kisa pesa ndogo..ndio mtoe hayo mamilioni kwa Kibu.
Kibu alilipwa malimbikizo yake, million 50,
Simba wakasema ameongeza mkataba,
Kibu sio mjinga akatae million 760 mashabiki wa Simba jiongeze
 
Back
Top Bottom