Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpumelala huyo hapo post namba 22 🤣🤣🤣Vipi kuhusu mshambuliaji Mpumelela amefunga magoli mangapi?
Dube alisajiliwa kwa pesa nyingi na analipwa mshahara mkubwa kuliko yule beki Mzanzibar lakini hana assist wala goli hata la offside, wala hata shot moja off-target lakini yule beki Mzanzibar ana goli mbili na mshahara mdogo. Hapo hushangai bado unashangaa ya Kibu D mkandaji?Mara ya mwisho aliwapiga goli wapinzani wetu Yanga nov 5 2023 .
Soma pia: Kibu Denis wewe sio wa kuanzia benchi. Uamuzi sahihi ni kuondoka
Majasho kama yote goli hakuna.Nimeikuta mahali nimecheka sanaaaaa...
View attachment 3144948
atafunga leo kwa KMCMara ya mwisho aliwapiga goli wapinzani wetu Yanga nov 5 2023 .
Soma pia: Kibu Denis wewe sio wa kuanzia benchi. Uamuzi sahihi ni kuondoka
Na ndo mshambuliaji namba 1 Tz.Mara ya mwisho aliwapiga goli wapinzani wetu Yanga nov 5 2023 .
Soma pia: Kibu Denis wewe sio wa kuanzia benchi. Uamuzi sahihi ni kuondoka
Mtoa uzi boya sana..kwani ameajiriwa kufunga kwenye ligi tu? Lile goli lake kwa wale walibya vipi?!Mara ya mwisho aliwapiga goli wapinzani wetu Yanga nov 5 2023 .
Soma pia: Kibu Denis wewe sio wa kuanzia benchi. Uamuzi sahihi ni kuondoka
Kondom.MPIRA upi unauzungumzia?
ila amejitahiti kukimbia kimbia ovyo ovyo sana, hilo labda apongezwe.Mara ya mwisho aliwapiga goli wapinzani wetu Yanga nov 5 2023 .
Soma pia: Kibu Denis wewe sio wa kuanzia benchi. Uamuzi sahihi ni kuondoka