Kibu Denis

Wewe mzee hujui mpira.
Kibu
1. Kafunga goal
2. Kafanya assist kagere Kafunga...
Kila anayekosoa Ni utopolo ? Akili zingine ni ajabu Sana.

Kwenye moja unataka tuseme tano ,kumkosoa mtu kunamjenga ,kibu Ana papara za ajabu Sana mchezaj anayejielewa hawez kuwa Kama kibu ni upepo tu unampitia saiz ndio maana ananza kikosini.

Pia elewa anafichiwa Sana makosa lakin huwez mtegemea kibu et atakubeba kimataifa pengine aache papara atulize akil ndipo atakuwa mchezaj mzur Ila kwa Sasa hakuna kitu, endelea kuniita utopolo.
 
Kila anayekosoa Ni utopolo ? Akili zingine Ni ajabu Sana .
Kwenye moja unataka tuseme tano ,kumkosoa mtu kunamjenga ,kibu Ana papara za ajabu Sana mchezaj anayejielewa hawez kuwa Kama kibu Ni upepo tu unampitia saiz ndio maana ananza kikosin...
WEWE NI TOPOLO TENA LILO ZEEKA.

Yani wewe unaakili kumzidi Pablo aliyefundisha Real Madrid.

Pablo kamwani Kibu, Paulsen kamwamini Kibu, wewe kajamba nani unakuja kubwabwaja humu.

Hivi unaweza hata kupiga danadana!?
 
Ya kagere ile sio assist mzee.

Mpira ulikua rebound.
 
Chama alikuwa anapigiwa makelele na kulaumiwa anapoozesha mpira, ila baada ya kuondoka wale wale waliokuwa wanamlaumua wanatamani arudi, na kamwe hawapendi kusikia tetesi akihusishwa na upande wa pili!
 
WEWE NI TOPOLO TENA LILO ZEEKA.

Yani wewe unaakili kumzidi Pablo aliyefundisha Real Madrid...
Naona unanitafutia burn kinguvu we choko[emoji867] Nikisema wewe Ni pimbi unaliwa kisamvu ntakuwa nakosea kwahiyo wachambuz wanaochambua mpira wamewazid makocha mbinu? Shule za kata Zina shida Sana ona zinatuletea mapunga Kama haya, wewe ni zero brain sikujib Tena fala wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…