No.2 itoe ile siyo assist ni rebound.Wewe mzee hujui mpira.
Kibu
1. Kafunga goal
2. Kafanya assist kagere Kafunga
3. Kasababisha penati.
4. Isipokuwa ubora wa goalkeeper leo kibu angeondoka na moira.
5. Goalkeeper kaokoa michomo karibia 5 kutoka kwa Kibu.
Unataka mchezaji afanye nini ndio uridhike!?
UTOPOLO BANA.
Kibu Denis muda mfupi tu. Atenda chezea nje. Ni wachezaji wachache sana kama Kibu duniani.
Mzee hala siyo basketball Mzee. Mambo ya rebound peleka huko. Hatuna statistics za rebound kwenye football.No.2 itoe ile siyo assist ni rebound.
Hata maana ya assist haijui kwa hiyo achana maye.Nakuambia hoja we unaleta vihoja,KoLO bhana!!
Tatizo football hujui halafu unajikakamua kujifanya unajua kitu usichokijua.Hata maana ya assist haijui kwa hiyo achana maye.
Huna hoja pakashumewe[emoji867]
Hoja yako ni ya kijinga na ya kimazoea sana. Wewe ndio wale wanaoamini mtu hupaswi kukosoa mchezaji Kwa sababu anafundishwa na mtu mwenye taaluma ya ufundishaji mpira!WEWE NI TOPOLO TENA LILO ZEEKA.
Yani wewe unaakili kumzidi Pablo aliyefundisha Real Madrid.
Pablo kamwani Kibu, Paulsen kamwamini Kibu, wewe kajamba nani unakuja kubwabwaja humu.
Hivi unaweza hata kupiga danadana!?
Sasa hoja yako ni ipi sasa mzee UTOPOLO. Kupayuka hovyo hovyo kama mlevi nayo ni hoja!?Hoja yako ni ya kijinga na ya kimazoea sana. Wewe ndio wale wanaoamini mtu hupaswi kukosoa mchezaji Kwa sababu anafundishwa na mtu mwenye taaluma ya ufundishaji mpira!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hafai kbs nilimuona na Ruvu hakuna mtu kbsNiende moja kwa moja kwenye mada kwa mhusika tajwa hapo juu,wadau wa soka hasa Wana simba je mnaona kweli huyu mtu anatufaa pale msimbazi? Mimi kiukweli hanibarik kabisa ni mchezaj mwenye papara Sana, ni mtu asie na shabaha, anatumia nguvu nyingi kuliko akili.
Any way mm sio kocha wa mpira huenda anaaminiwa kwa kuwa na kitu Cha ziada ambacho mm na wewe hatuwez kukiona kwa urahisi, Ila kwa macho ya kawaida pale hakuna mchezaj wa kutuvusha hasa kimataifa. Anakosa nafas za wazi sana.
Muda utaongea huenda akabadirika lakin kwa uchezaj wake huu Ni Waz Simba hatuna mtu pale Zaid ya kudra za mungu kusaidia tu na kuweza kushinda.
Kibu angekuwa ni mtu wa one chance one goal Simba leo alipaswa kushinda hata 6-0 ukitoa goli tulilofungwa kwa uzembe wa mkude kwa kukabia macho mtu anaondoka na mpira anamwangalia tu.
Siku Kibu akicheza mpira wa maana na kufunga magoli utasema ana papara tena?Kila anayekosoa Ni utopolo ? Akili zingine ni ajabu Sana.
Kwenye moja unataka tuseme tano ,kumkosoa mtu kunamjenga ,kibu Ana papara za ajabu Sana mchezaj anayejielewa hawez kuwa Kama kibu ni upepo tu unampitia saiz ndio maana ananza kikosini.
Pia elewa anafichiwa Sana makosa lakin huwez mtegemea kibu et atakubeba kimataifa pengine aache papara atulize akil ndipo atakuwa mchezaj mzur Ila kwa Sasa hakuna kitu, endelea kuniita utopolo.
Sasa mbona unasema kuna kitu ambacho wewe na Mimi hatujaona mbona umetujumuisha sisi ktk mtizamo wako wewe binafsi??umetujumuisha bila kutuomba.Wewe kama unaona hivyo unavyoona jitaje mwenyewe usijumuishe na wengine.Andika upya bandiko lakoNiende moja kwa moja kwenye mada kwa mhusika tajwa hapo juu,wadau wa soka hasa Wana simba je mnaona kweli huyu mtu anatufaa pale msimbazi? Mimi kiukweli hanibarik kabisa ni mchezaj mwenye papara Sana, ni mtu asie na shabaha, anatumia nguvu nyingi kuliko akili.
Any way mm sio kocha wa mpira huenda anaaminiwa kwa kuwa na kitu Cha ziada ambacho mm na wewe hatuwez kukiona kwa urahisi, Ila kwa macho ya kawaida pale hakuna mchezaj wa kutuvusha hasa kimataifa. Anakosa nafas za wazi sana.
Muda utaongea huenda akabadirika lakin kwa uchezaj wake huu Ni Waz Simba hatuna mtu pale Zaid ya kudra za mungu kusaidia tu na kuweza kushinda.
Kibu angekuwa ni mtu wa one chance one goal Simba leo alipaswa kushinda hata 6-0 ukitoa goli tulilofungwa kwa uzembe wa mkude kwa kukabia macho mtu anaondoka na mpira anamwangalia tu.
Tumpe muda wa kukomaa. Akipunguza papara akawa na utulivu wa Chama...atatupa goli nyingi sana huyuNiende moja kwa moja kwenye mada kwa mhusika tajwa hapo juu,wadau wa soka hasa Wana simba je mnaona kweli huyu mtu anatufaa pale msimbazi? Mimi kiukweli hanibarik kabisa ni mchezaj mwenye papara Sana, ni mtu asie na shabaha, anatumia nguvu nyingi kuliko akili.
Any way mm sio kocha wa mpira huenda anaaminiwa kwa kuwa na kitu Cha ziada ambacho mm na wewe hatuwez kukiona kwa urahisi, Ila kwa macho ya kawaida pale hakuna mchezaj wa kutuvusha hasa kimataifa. Anakosa nafas za wazi sana.
Muda utaongea huenda akabadirika lakin kwa uchezaj wake huu Ni Waz Simba hatuna mtu pale Zaid ya kudra za mungu kusaidia tu na kuweza kushinda.
Kibu angekuwa ni mtu wa one chance one goal Simba leo alipaswa kushinda hata 6-0 ukitoa goli tulilofungwa kwa uzembe wa mkude kwa kukabia macho mtu anaondoka na mpira anamwangalia tu.
Wewe mzee hujui mpira.
Kibu
1. Kafunga goal
2. Kafanya assist kagere Kafunga
3. Kasababisha penati.
4. Isipokuwa ubora wa goalkeeper leo kibu angeondoka na moira.
5. Goalkeeper kaokoa michomo karibia 5 kutoka kwa Kibu.
Unataka mchezaji afanye nini ndio uridhike!?
UTOPOLO BANA.
Kibu Denis muda mfupi tu. Atenda chezea nje. Ni wachezaji wachache sana kama Kibu duniani.