Kibu Dennis amebadilika sana, hawezi kuendelea kucheza Simba msimu ujao

Kibu Dennis amebadilika sana, hawezi kuendelea kucheza Simba msimu ujao

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Simba sasa hiv inabebwa sana na Kibu Dennis, huyu mwanaume amefika hapa kwa sababu ya zomea zomea yetu mashabiki wa Simba kwake, alikuwa akifanya makosa mengi sana kiasi kwamba tulidhani hastahili kuchezea Simba, nayakumbuka sana maneno ya Mzee Magori alipomzungumzia mchezaji huyo wakati akiongea na Mahmoud Zubeiry katika kipindi cha azam sports , alisema huyu Kibbu ni mchezaji mkubwa sana, uchezaji aliokuwa nao kule Mbeya City utakuwa tofauti na Simba, kweli leo nayaona, Kibbu ana stamina ya kutosha, ana kasi ya kutosha, uwezo binafsi wa kutosha, ana control ya kutosha, ana mashuti ya kutosha, nini kitamfanya Kibbu asicheze soka ulaya.

Namtabiria makubwa sana mwanaume huyu wa shoos, leo kule Singida amenyimwa goli dhahiri kabisa, ameruka hewani kuliko hata kipa Metacha mwenyewe, ndio maana juzi niliomba sana viongozi wa Simba Kibbu arudi sana nchini kwa ajili ya mechi hiyo muhimu leo.

Ubaya Ubwelaaaa
 
Simba sasa hiv inabebwa sana na Kibu Dennis, huyu mwanaume amefika hapa kwa sababu ya zomea zomea yetu mashabiki wa Simba kwake, alikuwa akifanya makosa mengi sana kiasi kwamba tulidhani hastahili kuchezea Simba, nayakumbuka sana maneno ya Mzee Magori alipomzungumzia mchezaji huyo wakati akiongea na Mahmoud Zubeiry katika kipindi cha azam sports , alisema huyu Kibbu ni mchezaji mkubwa sana, uchezaji aliokuwa nao kule Mbeya City utakuwa tofauti na Simba, kweli leo nayaona, Kibbu ana stamina ya kutosha, ana kasi ya kutosha, uwezo binafsi wa kutosha, ana control ya kutosha, ana mashuti ya kutosha, nini kitamfanya Kibbu asicheze soka ulaya.

Namtabiria makubwa sana mwanaume huyu wa shoos, leo kule Singida amenyimwa goli dhahiri kabisa, ameruka hewani kuliko hata kipa Metacha mwenyewe, ndio maana juzi niliomba sana viongozi wa Simba Kibbu arudi sana nchini kwa ajili ya mechi hiyo muhimu leo.

Ubaya Ubwelaaaa
Mtu aje na ufundi alioupata Norway halafu wewe uje na umbea wako hapa!
 
Simba sasa hiv inabebwa sana na Kibu Dennis, huyu mwanaume amefika hapa kwa sababu ya zomea zomea yetu mashabiki wa Simba kwake, alikuwa akifanya makosa mengi sana kiasi kwamba tulidhani hastahili kuchezea Simba, nayakumbuka sana maneno ya Mzee Magori alipomzungumzia mchezaji huyo wakati akiongea na Mahmoud Zubeiry katika kipindi cha azam sports , alisema huyu Kibbu ni mchezaji mkubwa sana, uchezaji aliokuwa nao kule Mbeya City utakuwa tofauti na Simba, kweli leo nayaona, Kibbu ana stamina ya kutosha, ana kasi ya kutosha, uwezo binafsi wa kutosha, ana control ya kutosha, ana mashuti ya kutosha, nini kitamfanya Kibbu asicheze soka ulaya.

Namtabiria makubwa sana mwanaume huyu wa shoos, leo kule Singida amenyimwa goli dhahiri kabisa, ameruka hewani kuliko hata kipa Metacha mwenyewe, ndio maana juzi niliomba sana viongozi wa Simba Kibbu arudi sana nchini kwa ajili ya mechi hiyo muhimu leo.

Ubaya Ubwelaaaa
Ni fighter kweli,
Ila aache kujiangusha angusha. Kuliko ujiangushe umtegemee refa akupe faulo ambayo ni fifty fifty basi bora uendelee kugangamala.
 
Kibu Dennis ni striker mzuri na anajituma kwa dakika 90+10. Amedhihirisha hivyo kwenye mechi chache za nyuma kwa magoli aliyofunga dakika za jioni
 
Kibu anajituma sana awapo mchezoni na hakuna kocha anaweza muacha nje kama ni mzima.
 
Mchezaji au kituko hicho?
1000213244.jpg

Hapana ni hafidh konkoni
 
mtu ana zaidi ya mwaka na miezi kadhaa hajapata hata goal 1 moja kwenye ligi, aisee nyota iking'aa imeng'aa tu, kibu anaweza cheza mpaka 2027 asifikie magoli ya ibrahim bacca ya msimu 2024/2025
 
Simba sasa hiv inabebwa sana na Kibu Dennis, huyu mwanaume amefika hapa kwa sababu ya zomea zomea yetu mashabiki wa Simba kwake, alikuwa akifanya makosa mengi sana kiasi kwamba tulidhani hastahili kuchezea Simba, nayakumbuka sana maneno ya Mzee Magori alipomzungumzia mchezaji huyo wakati akiongea na Mahmoud Zubeiry katika kipindi cha azam sports , alisema huyu Kibbu ni mchezaji mkubwa sana, uchezaji aliokuwa nao kule Mbeya City utakuwa tofauti na Simba, kweli leo nayaona, Kibbu ana stamina ya kutosha, ana kasi ya kutosha, uwezo binafsi wa kutosha, ana control ya kutosha, ana mashuti ya kutosha, nini kitamfanya Kibbu asicheze soka ulaya.

Namtabiria makubwa sana mwanaume huyu wa shoos, leo kule Singida amenyimwa goli dhahiri kabisa, ameruka hewani kuliko hata kipa Metacha mwenyewe, ndio maana juzi niliomba sana viongozi wa Simba Kibbu arudi sana nchini kwa ajili ya mechi hiyo muhimu leo.

Ubaya Ubwelaaaa
Hahaha 🤣 😂 🤣 😂 hahaaaaaaaaaaaa Thiiimbaaaa 5imba Thiiimbaaaa Guvu Moya.
 
Back
Top Bottom