Kibu na Mzamiru watozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa Ulozi

Kibu na Mzamiru watozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa Ulozi

Hiyo timu na wachezaji wake wana historia ya kipekee kwenye suala zima la imani za kishirikina. Kwenye mechi yao dhidi ya Platinum ya Zimbabwe kuna shabiki wao aliingia uwanjani na paka kubwa jeusi kwa ajili ya kuwaroga wapinzani.

Mechi dhidi ya Wasauzi kule Bondeni walitaka kuuchoma moto uwanja wa watu, kisa tu uchawi! Na mwisho wa siku CAF wakawapiga faini ya dola elfu 10!

Mechi yao dhidi ya Raja Casablanca msimu uliopita, dereva wa timu akiwa amewabeba wachezaji kwenye basi la timu alirudi kinyume nyume kwa umbali mrefu; huku akihatarisha usalama wa wachezaji! Kisa tu imani za kishirikina.
Umeandika mambo mengi pumba tupu...
Nyie wachezaji wenu wangapi wameshafanya hivyo kuondoa mataulo...
Haya ni mara ngapi mnafanya ushirikina wa kupita mlango ambao sio...
Yani Uto huna la kumcheka Simba..tena nyie ni wachawi wabobevu kwa sbb mna mbinu za kivita nyingine hazionekanagi..
 
Sasa mnacheka nini kuhusu simba hivi nyie mna akili kweli? Mmewasahau wachezaji wenu kina mzize na Job?? Ila ukiwa utopolo na akili inaisha kabisa...
Yani wanajifanya wao sio makonkodi kwa mechi 2 mfululizo...
Kwa hiyo unakubali kuwa simba na yanga wote wachawi?
 
Wachezaji wa klabu ya Simba, Kibu Denis na Mzamiru Yassin wametozwa faini ya Sh. 1,000,000 kila mmoja kwa kosa la kuondoa taulo la mlinda mlango wa Coastal Union litilokuwa limewekwa pembeni ya lango wakati mchezo ukiendelea, jambo lililoashiria imani za kishirikina.


View attachment 2934330
 
Tukio la jana wangefanya Yanga pasingekalika humu. Mashabiki wa simba wana mdomo sana ila timu yao inategemea ushirikina kila kona
 
Bado kenge hawaelewi kilitokea nini, na bado hata kuunganisha dots hawajui.
Mm nacho jua Sheria haziruhusu huingia na vifaa visivyo kua ama ku husiana na football game uwanjani..

Kipind Fulani miaka ya nyuma IVO MAPUNDA

nae alikua na tabia ya kuingia na kitaulo 😊😊😊😊
 
Wachezaji wa klabu ya Simba, Kibu Denis na Mzamiru Yassin wametozwa faini ya Sh. 1,000,000 kila mmoja kwa kosa la kuondoa taulo la mlinda mlango wa Coastal Union litilokuwa limewekwa pembeni ya lango wakati mchezo ukiendelea, jambo lililoashiria imani za kishirikina.


View attachment 2934330
Hilo linaangukia kwenye kosa la kumghasi/ kumpotezea Kipa umakini Tena kwenye eneo lake. Kulihusisha na uchawi ni akili mbovu za hao waliotoa hiyo adhabu.

Kwani wale wanaokwepa kupita kwenye mageti rasmi ya kuingia uwanjani Kwenye derby ya Simba na Yanga, mbona Huwa wanaadhibiwa na haisemwi ni Kwa imani za kishirikina!?
 
Hahahahaha
 

Attachments

  • IMG-20240316-WA0019.jpg
    IMG-20240316-WA0019.jpg
    91.2 KB · Views: 1
Wachezaji wa klabu ya Simba, Kibu Denis na Mzamiru Yassin wametozwa faini ya Sh. 1,000,000 kila mmoja kwa kosa la kuondoa taulo la mlinda mlango wa Coastal Union litilokuwa limewekwa pembeni ya lango wakati mchezo ukiendelea, jambo lililoashiria imani za kishirikina.


View attachment 2934330
Wao wamejuaje kuwa taulo Hilo linaashiria uchawi? Au Imani za kishirikina???
 
Back
Top Bottom