zegamba180
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 820
- 541
Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo, mbwa, Paka na Kinyonga walikuwa wameenda kwa mfalme kumsalimia. Sasa wanyama wengine wakawa wanaomba zawadi toka kwa mfalme kasoro kinyonga.
Kinyonga akawa anazungusha macho mbele nyuma juu chini. Wenzake wakapewa zawadi nyingi.
Jion wakamwaaga mfalme tayar kwa kuondoka.
Ng'ombe: Kinyonga mwenzetu mbona hukuomba zawadi?
Kinyonga: kwa jinsi nilivyokuwa namtazama mfalme asingeweza kunipa.
Mbuzi: kwanni kinyonga?
Kinyonga: kwani hakuona kama mimi nilikuwa nahitaji zawadi? Si aliona ni mimi pekee sikuomba.
Kinyonga akawa anazungusha macho mbele nyuma juu chini. Wenzake wakapewa zawadi nyingi.
Jion wakamwaaga mfalme tayar kwa kuondoka.
Ng'ombe: Kinyonga mwenzetu mbona hukuomba zawadi?
Kinyonga: kwa jinsi nilivyokuwa namtazama mfalme asingeweza kunipa.
Mbuzi: kwanni kinyonga?
Kinyonga: kwani hakuona kama mimi nilikuwa nahitaji zawadi? Si aliona ni mimi pekee sikuomba.