oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 66
Kwa vyovyote hiki kitakuwa kiburi tu, mtoto akianza kudharau wazazi mwisho wake unakuwa mbaya.
Kitendo cha serikali kuwakaanga wananchi waliowapa kura kwa kupandisha gharama ya mafuta ya taa ni nini kama siyo kiburi?kwamba serikali imeshindwa kudhibiti wachakachuaji wachache wa dizel na kuwabebesha wakulima ambao ni 80% ya wanachi wote gharama; je nini kama siyo kiburi?kitendo cha serikali kuendekeza uzembe wa kutochukua hatua dhidi ya wachakachuaji wa mafuta si kuendekeza mchezo ule ule wa kulindana? hii ni nini kama siyo kiburi? serikali inasema; wananchi wenyewe maskini watatufanya nini?kwanza tuliingia madarakani kwa nguvu zetu watatufanya nini? uchaguzi ukifika tutawapelekea kanga na vitambaa, by the way, watakuwa wameshasahau issue ya mafuta- kura tutapata tu.
Mimi nasema kiburi hutangulia maangamizi.
Nawasilisha!
Kitendo cha serikali kuwakaanga wananchi waliowapa kura kwa kupandisha gharama ya mafuta ya taa ni nini kama siyo kiburi?kwamba serikali imeshindwa kudhibiti wachakachuaji wachache wa dizel na kuwabebesha wakulima ambao ni 80% ya wanachi wote gharama; je nini kama siyo kiburi?kitendo cha serikali kuendekeza uzembe wa kutochukua hatua dhidi ya wachakachuaji wa mafuta si kuendekeza mchezo ule ule wa kulindana? hii ni nini kama siyo kiburi? serikali inasema; wananchi wenyewe maskini watatufanya nini?kwanza tuliingia madarakani kwa nguvu zetu watatufanya nini? uchaguzi ukifika tutawapelekea kanga na vitambaa, by the way, watakuwa wameshasahau issue ya mafuta- kura tutapata tu.
Mimi nasema kiburi hutangulia maangamizi.
Nawasilisha!