kiburi kwenye biashara kinasababishwa na nini?

kiburi kwenye biashara kinasababishwa na nini?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
kwa mfano,
Mtandao wa Tigo unasumbua hata kutuma pesa zinakwama, wao hawajatoa taarifa kwa wateja kuwajuza kuna tatizo, wana act kama kila kitu kiko sawa, kinachotokea ni watu wanazidi kufanya miamala na malalamiko yanazidi.

kulikua na haja gani yakua na mitandao ya kijamii kama hawawezi kutoa taarifa kwa wateje? ku act kama hawajuikinachoendelea ni jeuri au ni uzembe tu wa wenye kuhusika? nimetuma hela naambiwa nisubiri masaa 72 ya kazi.

kwanini hizi jeuri?
 
Huu mtandao ushakuwa wa kidwazi kinyama, hata kuweka Hela kubwa kwenye account ya tigo pesa inatia hofu. Maana huduma zao hazitabiliki.
Mfano saiv menu za vifurushi hazifanyi kazi na tigopesa pia.
 
serikali iingilie kazti hawa jamaa warudishe pesa za wateja, wanazingua sana na hawako responsible, hata taarifa hawatoi.
 
Na mtandao uliporejea kwenye huduma zake walituma ujumbe kwa wateja ukisema tu kwamba huduma imerejea lakini hawajaomba msamaha wowote kutokana na kuwakosesha huduma wateja wake kwa masaa kadhaa
 
kwa mfano,
Mtandao wa Tigo unasumbua hata kutuma pesa zinakwama, wao hawajatoa taarifa kwa wateja kuwajuza kuna tatizo, wana act kama kila kitu kiko sawa, kinachotokea ni watu wanazidi kufanya miamala na malalamiko yanazidi.

kulikua na haja gani yakua na mitandao ya kijamii kama hawawezi kutoa taarifa kwa wateje? ku act kama hawajuikinachoendelea ni jeuri au ni uzembe tu wa wenye kuhusika? nimetuma hela naambiwa nisubiri masaa 72 ya kazi.

kwanini hizi jeuri?
Labda utoe mfano mwingine wa kiburi kwenye biashara ila huo wa Tigo is irrelevant. Kama mtandao wao unasumbua watatumaje taarifa? Usually, wana-appologize baada ya tatizo kuwa limekwisha.
 
Labda utoe mfano mwingine wa kiburi kwenye biashara ila huo wa Tigo is irrelevant. Kama mtandao wao unasumbua watatumaje taarifa? Usually, wana-appologize baada ya tatizo kuwa limekwisha.
Hauko serious
 
Karibu Kizimkazi tarehe 19-25 Agosti, Kusini Unguja. Kizimkazi Imeitika, Nawe itika na Wana-Kizimkazi! Jisikie Nyumbani, Kizimkazi Festival ni zaidi ya Tamasha!

Tigo wamegeuka kuwa machawa! Kampuni inafeli sana.
 
Back
Top Bottom