Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Huku ni kuhujumiana kwa gia ya usajili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajabu nyie ndio mna hangaika, uzi umejaa mikia ina kanyaganaMtawaua na shinikizo la damu ya kushuka na kupanda [emoji23]
Anayefata ni MayeleNa mwingine nani?
Fistula MayeleNa mwingine nani?
Tuliza kishundu hicho Feisal ni mali ya Azam hutaki kunywa sumu ufeAjabu nyie ndio mna hangaika, uzi umejaa mikia ina kanyagana
Sio Phiri? kumbe wachezaji wazuri wapo Yanga tuAnayefata ni Mayele
Lugha zako nisha kupuuza I'm not into that!Tuliza kishundu hicho Feisal ni mali ya Azam hutaki kunywa sumu ufe
Hii haihusiani na uzuri wa wachezajiSio Phiri? kumbe wachezaji wazuri wapo Yanga tu
Siyo mimi ni Azam FC,kingereza kingiii chupi imejaa kinyesi!Lugha zako nisha kupuuza I'm not into that!
Wanatafuta ubingwa na heshimaAzam kuna kitu wanakitafuta.
Tumpeleke na Chama huko, Azam izidi kujiimarishaNitafurahi sana ikiwa hivyo, na feisal akitimkia huko pia. Azam iwe timu yenye ushindani zaidi nayo iongeze mashabiki.
Timu kubwa ziwe tatu kweli sio simba na yanga tu.
Naona umetoka vichochoroni baada ya kupona busher lako..Nawakumbusha tu Yanga kuitwa Utopolo ni maono ya ndani sana. Hii ndio maana halisi ya Utopolo
Kabisa kabisa mkuu, na Azam si wana pesa wamlete na miquisonTumpeleke na Chama huko, Azam izidi kujiimarisha
Dah!!! Unataka uto wamtume Mzee Mpili akuroge weweSiyo mimi ni Azam FC,kingereza kingiii chupi imejaa kinyesi!
Ndiyo maana waliitwa mbumbumbu.Ajabu nyie ndio mna hangaika, uzi umejaa mikia ina kanyagana
Wewe huna kinyesi?Siyo mimi ni Azam FC,kingereza kingiii chupi imejaa kinyesi!
Halafu aliyewapa hilo jina wanamlipa mshahara na mchizi anatumia huo mshahara kuongeza wake [emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolo ni utopolo tu