simba kuitwa kolo ni maono yepiNawakumbusha tu Yanga kuitwa Utopolo ni maono ya ndani sana. Hii ndio maana halisi ya Utopolo
Hahahah[emoji23] na hawana cha kumfanyaHalafu aliyewapa hilo jina wanamlipa mshahara na mchizi anatumia huo mshahara kuongeza wake [emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolo ni utopolo tu
Tusamehe bro leo amani itawale happy Christmas[emoji322]Ajabu nyie ndio mna hangaika, uzi umejaa mikia ina kanyagana
azam anamsaidia kolo kijanjaAzam wamejifunza lini umafia wa Kariakoo?
Nilitaka nikuulize umejuaje lakini nikaona nitakukosea heshima kwahiyo ngoja nikae kimyaNaona umetoka vichochoroni baada ya kupona busher lako..
Hayo ni maoni sio maonosimba kuitwa kolo ni maono yepi
majibu plzzz