Kibwana Shomari nilipokuona tu uko karibu na Mchezaji Mmoja Mstaafu wa Simba SC na Bingwa wa Miba nikajua tu Yao Kwasi amekwisha na limetimia

Kibwana Shomari nilipokuona tu uko karibu na Mchezaji Mmoja Mstaafu wa Simba SC na Bingwa wa Miba nikajua tu Yao Kwasi amekwisha na limetimia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Beki wa Yanga, Kouassi Attohoula Yao atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi kisichopungua wiki nne na kisichozidi wiki sita baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti na enka.

Hayo yamebainishwa na Ofisa Habari wa klabu hiyo, Ally Kamwe wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Yao ataukosa mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya MC Alger utakaochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Januari 18, mwaka huu kisha na michezo isiyopungua mitatu ya ligi.

Chanzo: mwananchi_official

Na nasikia kuwa Pini uliyompiga kama akiichomoa sasa unamuendea kabisa kule inakotengenezwa nchini Burundi.
 
Mpanzu mchezaji aliyekuwa anaimbwa sana na viongozi na mashabiki wa Simba utadhani ni Messi lakini kiwango anachokionyesha uwanjani ni sawa na Mutale aliyechangamka,,hii NCHI ngumu sana hii!
Aah aah makolo utawaweza sasa.

Mpanzu tuliambiwa mpaka anampa tabu Kocha hajui Ampang wapi kwa uwezo wake wa kucheza namba tofauti tofauti.

Mpanzu mwenyewe sasa.
 
Back
Top Bottom