Kichaa cha dini hakina tiba kipo kama kichaa cha mbwa

Kichaa cha dini hakina tiba kipo kama kichaa cha mbwa

Mkuu dini ni mfumo wa maisha ya watu hadi sasahivi watu kuziacha dini zao nisawa nakumuaminifu kunamaisha bila pesa!
Hivyo basi naona nivyema watu waishi wanavyo ona kua ni salama kwao na vizazi vyao.
 
Mkuu dini ni mfumo wa maisha ya watu hadi sasahivi watu kuziacha dini zao nisawa nakumuaminifu kunamaisha bila pesa!
Hivyo basi naona nivyema watu waishi wanavyo ona kua ni salama kwao na vizazi vyao.
Unaelewa maana ya kichaa??
hamna mtu ameongelea dini naongelea kichaa cha dini
 
Hata kupangia watu wasiohitaji msaada wako wa chochote huu nao ni ukichaa na kama dini ni ukichaa basi dunia nzima nyinyi msio vichaa hamuzidi asilimia tatu dunia nzima ina maana duniani vichaa ni wengi kuliko nyinyi wenye akili timamu ongera kwa kuwa na akili.
 
Dini ni mfumo wa maisha ya mtu binafsi , kichaa ni yule anayefuatilia mfumo wa maisha ya watu wengine ...Watu hawawezi kuishi bila ya kuwa na mfumo , jamii isyokuwa na dini hakuna na haitokuwepo.
 
Kuna kuwa na imani nakuwa na imani kupitiliza ata kuliko walioleta hizo dini yani jana husiku nasikia mtu anaongea na Cm kumbe anaongea na mchungaji simu kaweka roud speaker mchungaji anamwambia chukua kikombe weka maji, jamaa kafanya hvyo haya sasa mwaga maji kidogo chini kisha yakanyage, jamaa kafanya hvyo sasa naombea maji yaliyobaki kwenye kikombe ili yawe damu kisha unywe. Basi mchungaji kaomba kisha kamwambia tayali yameisha kuwa damu uaweza kunywa jamaa kanywa. Mchungaji sasa nakushushia malaika sita wakuzunguke uku tukiomba, jamaa sawa mchungaji. Mchungaji malaika sita tiyali wamekwisha kuzunguka sasa unajisikiaje? Jamaa najisikia vzr mchungaji. Yani nilitamani nimnase jamaa kofi basi tu.
 
Hata kupangia watu wasiohitaji msaada wako wa chochote huu nao ni ukichaa na kama dini ni ukichaa basi dunia nzima nyinyi msio vichaa hamuzidi asilimia tatu dunia nzima ina maana duniani vichaa ni wengi kuliko nyinyi wenye akili timamu ongera kwa kuwa na akili.
Mbona kama naww una kichaa umeelewa mada lakini??
Kuwa na dini si kichaa yaan kuwa moderate

shida ni pale dini inapozidi
 
Kuna kuwa na imani nakuwa na imani kupitiliza ata kuliko walioleta hizo dini yani jana husiku nasikia mtu anaongea na Cm kumbe anaongea na mchungaji simu kaweka roud speaker mchungaji anamwambia chukua kikombe weka maji, jamaa kafanya hvyo haya sasa mwaga maji kidogo chini kisha yakanyage, jamaa kafanya hvyo sasa naombea maji yaliyobaki kwenye kikombe ili yawe damu kisha unywe. Basi mchungaji kaomba kisha kamwambia tayali yameisha kuwa damu uaweza kunywa jamaa kanywa. Mchungaji sasa nakushushia malaika sita wakuzunguke uku tukiomba, jamaa sawa mchungaji. Mchungaji malaika sita tiyali wamekwisha kuzunguka sasa unajisikiaje? Jamaa najisikia vzr mchungaji. Yani nilitamani nimnase jamaa kofi basi tu.
Umeona eeh
 
Dini ni mfumo wa maisha ya mtu binafsi , kichaa ni yule anayefuatilia mfumo wa maisha ya watu wengine ...Watu hawawezi kuishi bila ya kuwa na mfumo , jamii isyokuwa na dini hakuna na haitokuwepo.
Dini ni upumbavu dini ni namna ya kucontrol watu
 
Mbona kama naww una kichaa umeelewa mada lakini??
Kuwa na dini si kichaa yaan kuwa moderate

shida ni pale dini inapozidi
Nimeshakiri kwamba mm ni kichaa sababu naamini kwenye dini iwe kupitiliza au juu juu shida ni nyinyi msio vichaa kupangia watu cha kufanya uoni huu ni zaidi ya ukichaa?
 
Nimeshakiri kwamba mm ni kichaa sababu naamini kwenye dini iwe kupitiliza au juu juu shida ni nyinyi msio vichaa kupangia watu cha kufanya uoni huu ni zaidi ya ukichaa?
Hamna mtu asiye na dini anawpangia watu kitu cha kufanya shida n nyinyi wenye makelele??
kulaZimisha watu waishi kama nynyi
 
Hamna mtu asiye na dini anawpangia watu kitu cha kufanya shida n nyinyi wenye makelele??
kulaZimisha watu waishi kama nynyi
Nikuchangie shilingi ngapi ununue kispika na ww upige kelele ukikataa dini?Kuna mwanadini yeyote aliwahi kukuomba ushauri,kula,kuvaa,kulala au kutyomber?Kaa kwa kutulia usije ukajamba mbele za watu.
 
Back
Top Bottom