Kichanga chatupwa kwenye kisima cha maji, Jeshi la Zimamoto lasaidia mwili kupatikana

Kichanga chatupwa kwenye kisima cha maji, Jeshi la Zimamoto lasaidia mwili kupatikana

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Mwili wa kichanga umeopolewa na Kikosi cha Jeshi la Zimamoto Mkoa wa Geita kwa kushirikiana na wananchi baada ya kutupwa ndani ya kisima cha maji Mtaa wa Mkolani.

Afisa wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji Mkoa wa Geita Emmanuel Lutta amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
 
Taifa linapitia katika mateso makali ya laana baada ya kumpata Malkia Yezebeli ambae hana kibali mbele za Mungu baada ya kunyakua madaraka kwa kupora chaguzi.
16450052066120.png
 
Back
Top Bottom