Kichef chef na kutapika

Maujohnsimba

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2018
Posts
246
Reaction score
225
Habarini wandugu.. Kuna ndugu yangu anasumbuliwa sana na kichefu chefu na kutapika na kinaanza asubuh tu akiamka akisha jisaidia hajakubwa mambo yanaharibika.. Amepima vipimo vingi vya damu hakuna kinachoonekana amefanya endoscopy majibu mazuri amefanya abdomen ct scan kilakitu kipo sawa.. Mwezi wa nane huu anatapika kila siku asubuh.. Msaada mwenye kujua tafadhali.
 
Hujagusia kuhusu dawa alizowahi kutumia...
 
alipewa ant acid kama lansoprazole.. Rabeprazole.. Na pantoprazole ila hakuna iliyomsaidia..
Hizo dawa hazitibu kutapika, kama aliwahi kupewa hizo tu, dawa za kutapika hajapewa. Mtafutie dawa za kutapika kwenye duka la dawa uone zitaleta matokeo gani
 
Hizo dawa hazitibu kutapika, kama aliwahi kupewa hizo tu, dawa za kutapika hajapewa. Mtafutie dawa za kutapika kwenye duka la dawa uone zitaleta matokeo gani
Ameshatumia vomidoxin ..phenegan ila bado ni tatizo kiongozi..
 
Kuna mwanamke kampa mimba huyo. . Mm ilishawah nitokea atulie vizur akumbuke nan alitembea miez hyo minne iliyopita....afanye uchunguz then niletee mrejesho....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…