Jitahidi ukiwa unarudi home, rudi na fuko la mbilimbi, rundo embe nyoko, Ila udongo usimpelekee, pia naskia mananasi na mimba changa sio poa sana, jiandae kununiwa kaka, jitahidi kurudi home mapema, maana WAKIWA hivyo wanakuwa na visa sana hakawii kukuambia unanuka ama ukirudi unanuswa, jitahidi uwe unampa mambo hata Mara tatu kwa wiki, ujazilizie eeh si unajua tena akitoka iwe copy asifanane na jirani, supu supu asilia kuku, samaki nini kwa sana....hongera jombaa, akisikia kichefu chefu we mwambie atapike tu utazoa