Kwanza hii VAR mm siipendi kweli yani siku hizi mpira unachezwa kwa muda mrefu bila radha, yaani muda unapotezwa kwa ajili ya huo upumbavu.....mechi ya intermilan UEFA waliongeza dk8 zilizopotezwa na VAR
Kama hili li MIKE DEAN lililopangwa kuwa Video Assistant Refaree lipumbavu kweli ni lazma litoe maamuzi ya kuikandamiza timu yangu jinga sana hili lidude