Kichekesho: Eti Tanzania iko tayari kuzifundisha nchi za Afrika vijana wajiajiri!

Kichekesho: Eti Tanzania iko tayari kuzifundisha nchi za Afrika vijana wajiajiri!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Haya ni matusi kwa vijana wa Tanzania! Rais Samia ameonyesha dharau kwa vijana!

Je ni vijana wangapi wamenufaika katika mpango fake wa BBT kiasi Rais ajisifu na kutaka azifundishe nchi zingine za Kiafrika?

Huyu Mzanzibari hatufai kabisa na hastahili kuendelea kuwa madarakani!
 
Tumwache mama huenda kuna mahali anataka awashenyente majirani
FB_IMG_17400328657192564.jpg
 
Haya ni matusi kwa vijana wa Tanzania! Rais Samia ameonyesha dharau kwa vijana!

Je ni vijana wangapi wamenufaika katika mpango fake wa BBT kiasi Rais ajisifu na kutaka azifundishe nchi zingine za Kiafrika?

Huyu Mzanzibari hatufai kabisa na hastahili kuendelea kuwa madarakani!
Anadharau siku zote, alishawahi kuwaambia akina dada wacheza mpira sura zao zimekomaa na hawawezi olewa, alishawahi kuwaambia watanzania kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake, juzi mkuu wake wa mkoa kamwambia mjamzito mme wake achukue mikasi na visu ampasue kumzalisha. Ana dharau huyu, hafai huyu, aende zake huyu
 
Haya ni matusi kwa vijana wa Tanzania! Rais Samia ameonyesha dharau kwa vijana!

Je ni vijana wangapi wamenufaika katika mpango fake wa BBT kiasi Rais ajisifu na kutaka azifundishe nchi zingine za Kiafrika?

Huyu Mzanzibari hatufai kabisa na hastahili kuendelea kuwa madarakani!
Nimeona taarifa ya habari, hadi nkaona vichekesho
 
Anadharau siku zote, alishawahi kuwaambia akina dada wacheza mpira sura zao zimekomaa na hawawezi olewa, alishawahi kuwaambia watanzania kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake, juzi mkuu wake wa mkoa kamwambia mjamzito mme wake achukue mikasi na visu ampasue kumzalisha. Ana dharau huyu, hafai huyu, aende zake huyu
Mipasho ya kwenye kanga ndiyo anatuletea huku anasahau hata kuteuliwa kwake na Magufuli ilitokana kuwa mwanamke na siyo uwezo!
 
Back
Top Bottom