Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke)
Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?
Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.
Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.
Kakimbia nchi huyo!Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke)
Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?
Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.
Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.
Shein si mkaazi?
ukiwa upo nje ya jimbo lako kwa zaidi ya miaka 5 huruhusiwi kupiga kura ama?
kwani ilikuwaje wakati wa kwenda kuhamisha majina, sasa itakuwaje kama kura yake moja ndio itamuwezesha kuwa rais huko zenj...au hakujua atateuliwa kuwa mgombea wa urais....CCM bana.....vululuvululu
Hakukidhi matakwa ya sheria ya kujiandikisha kuwa mpiga kura. dkt. shein hajakaa znz miaka 10 mfululizo!!! Sheria ndio inasema hivyo,kabla haijapitishwa wapinzani waliikataa but ccm walikubaliana nayo na hayo ndio matokeo unagombea urais lakini hupigi kura ya kujichagua!!!
Inawezekanaje Mgombea urais wa Nchi moja kupiga kura kwenye Nchi Nyingine? (joke)
Najiuliza hivi Shain hakujua azma yake kuwa siku moja atakuwa mgombea urais wa Zanzibar? kama hakuandikishwa kuwa mpiga kura zanzibar Ukaazi je? au kwa vile ni CCM?
Hakika kaweka historia duniani kwa mgombea urais kutopiga kura kwenye Nchi yake mwenyewe anapogombea. Mgombea urais tokuwa na haki ya kupiga kura.
Likewise Historia kwa Mbatia kuwa mgombea alieshindwa kupiga kura.
Huh! Siamini! Kwa hiyo mgombea urais Zanzibar si mpiga kura wa Zanzibar? Hivi sheria inaruhusu mgombea ambaye hana sifa za kupiga kura? Maana naelewa sifa mojawapo ni kuwemo kwenye daftari husika, au nakosea jama?
Na ndugu yetu Mbatia yamemsibu yepi hadi asipige kura?