Elections 2010 KICHEKESHO: Mgombea Urais Zanzibar CCM apigia kura Oysterbay DSM

Elections 2010 KICHEKESHO: Mgombea Urais Zanzibar CCM apigia kura Oysterbay DSM

SHEIN kiboko kweli kweli.
UJUHA wa ccm ndio huo kudhani kwamba chochote wanaweza kufanya na wasichukuliwe hatua za kisheria.

Mbatia amepata alichokitaka
 
Ilitakiwa CUF (chama kikuu cha upinzani Zanzibar) imwekee pingamizi la kutokuwa na sifa za kugombea. Lakini haikufanya hivyo kwa sababu ya ndoa iliyofungwa baina ya CCM na CUF!

Cha ajabu ni kwamba hata vyama vingine havikuweka pingamizi!!!
Maridhiano ya CUF na CCM haikuwa sababu ya kutokumuwekea pingamizi, kwa ufahamu wangu si lazima chama pekee kimuwekee pingamizi mgombea maana hata mwananchi wa kawaida anaweza kumuwekea pingamizi mgombea km anahisi mgobea husika hajakidhi vigezo vya kupitishwa agombee.
BTW: mbona CHADEMA hamkumuwekea pingamizi ndugu Mbatia kule kawe maana hakujiandikisha kule kwa mujibu wa habari zilizopo.
 
wasi wasi wang hakutaka tu kujiandikisha zanzibar kwa sababu ukiwa upo 'nje ya nchi' kikazi, na ukarudi jimboni kwako unaruhusiwa kuandikishwa na kupiga kura.

Sheria inasema uwe umekaa znz miaka 10 mfululizo ndio una haki ya kujiandikisha kuwa mpiga kura, dk. Shein anaishi DSM maisha yake yote; znz anakwenda kuangalia familia yake ingawa ana nyumba huku na mke mmoja anaishi huku pale kwa mchina.
 
aljunior

kwa hiyo mgombea hana sifa ya kupiga kura! kweli tanzania vituko havishi
 
Back
Top Bottom