KICHEKESHO: Simba Wamekuja Na Bajeti Hewa ya Bilioni 24

KICHEKESHO: Simba Wamekuja Na Bajeti Hewa ya Bilioni 24

Sijaelewa!!!! yaani 1,300 unayochukua kwenye kila jezi over 32,500 anayochukua GSM still unaona hapo hakuna mkono wa birika?
Mkono wa. Birika alifuatwa atoe pesa ya kumnunua Adebayor - Akashindwa, akasema pesa ni nyingi.

Adebayor kaenda Berkane.

Mkono wa. Birika alifuatwa atoe pesa ya kumnunua Manzoki - Akashindwa, akasema tungoje mchezaji amalize mkataba.

Manzoki kaenda china.

Mkono wa. Birika alifuatwa atoe pesa ya kumnunua Aziz Ki - Akashindwa, akasemaa hana pesa za kushindana na Yanga.

Yanga wakabeba aziz k.

Mkono wa. Birika alifuatwa atoe pesa ya kuvunja mkataba wa. SAWADOGO - Akashindwa, akasema pesa ni nyingi tumwache amalize contract yake.

Sawa Dogo anabaki kupambania klabu next season.

Wahindi wanajawahi ku-upenda mpira. Yupo Simba kwa sababu ya kisiasa tu.
 
Mkono wa. Birika alifuatwa atoe pesa ya kumnunua Adebayor - Akashindwa, akasema pesa ni nyingi.

Adebayor kaenda Berkane.

Mkono wa. Birika alifuatwa atoe pesa ya kumnunua Manzoki - Akashindwa, akasema tungoje mchezaji amalize mkataba.

Manzoki kaenda china.

Mkono wa. Birika alifuatwa atoe pesa ya kumnunua Aziz Ki - Akashindwa, akasemaa hana pesa za kushindana na Yanga.

Yanga wakabeba aziz k.

Mkono wa. Birika alifuatwa atoe pesa ya kuvunja mkataba wa. SAWADOGO - Akashindwa, akasema pesa ni nyingi tumwache amalize contract yake.

Sawa Dogo anabaki kupambania klabu next season.

Wahindi wanajawahi ku-upenda mpira. Yupo Simba kwa sababu ya kisiasa tu.
Mngekuwa na Pesa leo hii Nabi asingeondoka.

Mngekuwa na Pesa leo hii kusingekuwa na mfululizo wa barua kutoka FIFA zikiwapiga faini kwa usumbufu wa kushindwa kulipa deni la Lucy Eymael

And then Yanga princess wasingeweka mgomo kudai mishahara yao pamoja na signing fee
 
Nyie wote mafaller Yanga na simba, mnaishia kubishania biashara za wanaume wenzenu...bure kabisa
..
20230502_182636.jpg
 
Kichekesho baada ya kichekesho:

Idara ya Fedha imeshindwa kabisa kuja na hesabu ya kutuambia mchanganuo wa msimu ulio pita kuonyesha faida/hasara.

Wanachama wako mitandaoni hawafahamu chochote kuhusu klabu yao. Hata haki yao ya msingi kikatiba ya kufahamu mapato namatumizi hawajatimiziwa.

Wana haha mitandaoni ovyo ovyo kama kuku asiye na kichwa.

Wenzenu Yanga wanavyosema Bajeti yao ni B20 wana uhalisia kwa sababu wana vyanzo vingi sana vya mapato na sponsors kuzidi nyinyi, pia GSM hana mkono wa birika kama MO kweye kutoa pesa.

Una Bajeti ya Bilioni 24 unashindwaje kulipa fasta USD 150,000 wanazotaka Cotton Sport kwa ajili ya Beki?

Una Bajeti ya Bilioni 24 lakini mpaka sasa unashindwaje kutoa USD 163,000 wanazotaka Berkane kwa ajili ya Adebayor?

Una Bajeti ya Bilioni 24 unaenda kufuata Striker Rwanda? Una akili kweli?

Una Bajeti ya Bilioni 24 wakati huohuo unashindwaje kuvunja mkataba wa SAWADOGO wenye thamani ya USD 300K mpaka mna negotiate kumpeleka on loan?

Una Bajeti ya Bilioni 24 unashindwa kumalizana na Nelson Okwa asepee zake?

Watani wanachekesha mno, cha kushangaza wao serious kabisa kwenye vikao vyao wakionyesha wanaweza kushindana na Yanga SC.

Hakuna sababu ya kutengeneza uongo ili uonyeshe mashabiki kuwana misuli ya kushindana na mpinzai wenu. Jambo jema ni kujifunza kutoka kwao.
Ukiwa yanga akili zina hama walipeni yanga princess na Lucy aymel hela zao kwanza halafu uje tuendelee na mada.
 
Babati nzuri kwenye hizi hesabu tu hama differential equation, Differentiation, Intergration,Trig au Complex numbers.Okay kuhusu swala la elimu ya darasani JF hatuweki vyeti.

Yaani ww ndiye kiazi, yaani hisa Mo kanunua kwa 20 bil,bajeti ya timu ni 23bil,hata hujasoma ila mathematical bado haijakaa, ila inawezekana kwako imekaa sawa.Maana sijawahi kuona, let's say Man Utd thamani ni 4bil Pounds, halafu then bajeti yake iwe 2bil per season, sizani kama wangemwitaji huyo mwekezaji.

Sasa iliyobaki inakuwaje ya Morrison na Aziz wakati hiyo ni hela baada ya kutoa mapato na matumizi. Halafu ushasema faida mana yake mtaji upo.
Mm sio yanga Wala Simba ila naona naww umesahau kuwa 20b ni ya 49% na miaka imepita km mi4 tangu wauziane as per maelezo yawo.je hizo hisa (49%)value yake bdo ni 20b???
 
Mm sio yanga Wala Simba ila naona naww umesahau kuwa 20b ni ya 49% na miaka imepita km mi4 tangu wauziane as per maelezo yawo.je hizo hisa (49%)value yake bdo ni 20b???
Kwa rekodi zangu ilikuwa 2021,wewe niletee hata link inayo onyeshwa Mo alinunua hisa miaka minne iliyopita, ilete hapa.
 
Kweli ww matako umeona ni hewa ww unanini zaidi ya hizo kemde zako
 
Kwa rekodi zangu ilikuwa 2021,wewe niletee hata link inayo onyeshwa Mo alinunua hisa miaka minne iliyopita, ilete hapa.
Asante kwaku nikumbusha ndugu ilikua 2021,,,naomba nijibu swali langu????
 
Kichekesho baada ya kichekesho:

Idara ya Fedha imeshindwa kabisa kuja na hesabu ya kutuambia mchanganuo wa msimu ulio pita kuonyesha faida/hasara.

Wanachama wako mitandaoni hawafahamu chochote kuhusu klabu yao. Hata haki yao ya msingi kikatiba ya kufahamu mapato namatumizi hawajatimiziwa.

Wana haha mitandaoni ovyo ovyo kama kuku asiye na kichwa.

Wenzenu Yanga wanavyosema Bajeti yao ni B20 wana uhalisia kwa sababu wana vyanzo vingi sana vya mapato na sponsors kuzidi nyinyi, pia GSM hana mkono wa birika kama MO kweye kutoa pesa.

Una Bajeti ya Bilioni 24 unashindwaje kulipa fasta USD 150,000 wanazotaka Cotton Sport kwa ajili ya Beki?

Una Bajeti ya Bilioni 24 lakini mpaka sasa unashindwaje kutoa USD 163,000 wanazotaka Berkane kwa ajili ya Adebayor?

Una Bajeti ya Bilioni 24 unaenda kufuata Striker Rwanda? Una akili kweli?

Una Bajeti ya Bilioni 24 wakati huohuo unashindwaje kuvunja mkataba wa SAWADOGO wenye thamani ya USD 300K mpaka mna negotiate kumpeleka on loan?

Una Bajeti ya Bilioni 24 unashindwa kumalizana na Nelson Okwa asepee zake?

Watani wanachekesha mno, cha kushangaza wao serious kabisa kwenye vikao vyao wakionyesha wanaweza kushindana na Yanga SC.

Hakuna sababu ya kutengeneza uongo ili uonyeshe mashabiki kuwana misuli ya kushindana na mpinzai wenu. Jambo jema ni kujifunza kutoka kwao.
Sasa ulitakaje, ili useme tuliwaiga, fyata mkia!
 
Yaani ww ndiye kiazi, yaani hisa Mo kanunua kwa 20 bil,bajeti ya timu ni 23bil,hata hujasoma ila mathematical bado haijakaa, ila inawezekana kwako imekaa sawa.
Kwangu imekaa sawa kabisa. Iwapo Mo amenunua hisa za 49% kwa sh. 20B, inawezekana kabisa hujui (au hukusoma) kuwa zilizobaki ni 51%. Piga hesabu hapo upate thamani ya klabu kwa 100%, just kukusaidia ni 40.82B

Ingawa siungani na wewe kuhusianisha uwekezaji na bajeti, lakini ili nitembee na lugha yako, thamani ya klabu kwa 100% ni 40.82B na bajeti (sijajua kama ni kweli) kwa mujibu wa wewe ni 23B. Sasa endelea kuanzia hapo, maana ulikuwa unapiga hesabu za mwekezaji tu bila kujua kumbe hizo ni 49% tu
 
Asante kwaku nikumbusha ndugu ilikua 2021,,,naomba nijibu swali langu????
Lipi ? Kama kuhusu value mafanikio ya club ndio yanapandisha value ya club, je 21 mpaka 23 Simba imeachieve nini.
 
Kwangu imekaa sawa kabisa. Iwapo Mo amenunua hisa za 49% kwa sh. 20B, inawezekana kabisa hujui (au hukusoma) kuwa zilizobaki ni 51%. Piga hesabu hapo upate thamani ya klabu kwa 100%, just kukusaidia ni 40.82B

Ingawa siungani na wewe kuhusianisha uwekezaji na bajeti, lakini ili nitembee na lugha yako, thamani ya klabu kwa 100% ni 40.82B na bajeti (sijajua kama ni kweli) kwa mujibu wa wewe ni 23B. Sasa endelea kuanzia hapo, maana ulikuwa unapiga hesabu za mwekezaji tu bila kujua kumbe hizo ni 49% tu
So thamani ya club 40b matumizi kwa mwaka 23b per yr,ila inawezekana ikawa Simba ndio ya kwanza matumizi yake kwa mwaka ni zaidi ya nusu ya thamani yake, hii sijawahi kuiona hata ulaya may be Simba ndio wa kwanza sio mbaya naendelea kujifunza maana haya ni maajabu.
 
So thamani ya club 40b matumizi kwa mwaka 23b per yr,ila inawezekana ikawa Simba ndio ya kwanza matumizi yake kwa mwaka ni zaidi ya nusu ya thamani yake, hii sijawahi kuiona hata ulaya may be Simba ndio wa kwanza sio mbaya naendelea kujifunza maana haya ni maajabu.
Endelea kushangaa mdomo wazi, ila nzi wataingia, na kuwatoa tumboni hadi uchomoe mwiko
 
So thamani ya club 40b matumizi kwa mwaka 23b per yr,ila inawezekana ikawa Simba ndio ya kwanza matumizi yake kwa mwaka ni zaidi ya nusu ya thamani yake, hii sijawahi kuiona hata ulaya may be Simba ndio wa kwanza sio mbaya naendelea kujifunza maana haya ni maajabu.
Kwani thamani ya Yanga ni sh. ngapi? Tuanzie hapo 😁😁😁
 
Mm sio yanga Wala Simba ila naona naww umesahau kuwa 20b ni ya 49% na miaka imepita km mi4 tangu wauziane as per maelezo yawo.je hizo hisa (49%)value yake bdo ni 20b???

Kwani huyu joseph1989 anaelewa lolote basi kuhusu uwekezaji wa hisa?

 
kwahiyo we ulitaka ukiwa na budget ufanye kila kitu kwa kukurupuka kama muajiriwa mpya kalipwa mshahara wa kwanza vile anataka anunue kila nguo,kila kiatu , Kitanda,Tv na kila anacho kiona bila plan?
Simba ni taasisi na taasisi yenye malengo haikurupuki hata kama inayo budget
 
Kichekesho baada ya kichekesho:

Idara ya Fedha imeshindwa kabisa kuja na hesabu ya kutuambia mchanganuo wa msimu ulio pita kuonyesha faida/hasara.

Wanachama wako mitandaoni hawafahamu chochote kuhusu klabu yao. Hata haki yao ya msingi kikatiba ya kufahamu mapato namatumizi hawajatimiziwa.

Wana haha mitandaoni ovyo ovyo kama kuku asiye na kichwa.

Wenzenu Yanga wanavyosema Bajeti yao ni B20 wana uhalisia kwa sababu wana vyanzo vingi sana vya mapato na sponsors kuzidi nyinyi, pia GSM hana mkono wa birika kama MO kweye kutoa pesa.

Una Bajeti ya Bilioni 24 unashindwaje kulipa fasta USD 150,000 wanazotaka Cotton Sport kwa ajili ya Beki?

Una Bajeti ya Bilioni 24 lakini mpaka sasa unashindwaje kutoa USD 163,000 wanazotaka Berkane kwa ajili ya Adebayor?

Una Bajeti ya Bilioni 24 unaenda kufuata Striker Rwanda? Una akili kweli?

Una Bajeti ya Bilioni 24 wakati huohuo unashindwaje kuvunja mkataba wa SAWADOGO wenye thamani ya USD 300K mpaka mna negotiate kumpeleka on loan?

Una Bajeti ya Bilioni 24 unashindwa kumalizana na Nelson Okwa asepee zake?

Watani wanachekesha mno, cha kushangaza wao serious kabisa kwenye vikao vyao wakionyesha wanaweza kushindana na Yanga SC.

Hakuna sababu ya kutengeneza uongo ili uonyeshe mashabiki kuwana misuli ya kushindana na mpinzai wenu. Jambo jema ni kujifunza kutoka kwao.
Wewe mjinga kabisa kwenye AGM ya NPMO inajadiliwa report ya mapato na matumizi ya mwaka uliopita,peleka watoto shule wasije kuwa wajinga kama wewe.Ulichokiona Kwa yanga ni report ya mwaka Jana hawajasema ni budget ya mwaka huu,wachambuzi wenu na waandishi wa habari hawana financial knowledge ya kutafsiri financial statements wanajiandikia na kuchambua Kwa akili zao .Mambo ya fedha yanajadiliwa na wahasibu uliza kama hauna financial knowledge.
 
Back
Top Bottom