"Kicheko" Msimu umeanza

"Kicheko" Msimu umeanza

Kicheko alikuja clouds kwa mbwembwe nyingi ila mwisho wa siku wakampotezea,ila ange endelea kukaa EFM saiv brand yake ingekuwa kubwa sana,saiv amebaki ni wakusikika msimu wa Fiesta tu.
 
Kicheko alikuja clouds kwa mbwembwe nyingi ila mwisho wa siku wakampotezea,ila ange endelea kukaa EFM saiv brand yake ingekuwa kubwa sana,saiv amebaki ni wakusikika msimu wa Fiesta tu.
kwaufupi kapotea kabisaaaaaa na hana jipya
 
Eeehh ndio msimu umeanza, ni msimu wa tamasha la muziki lililoanza kwa muda mrefu, lengo sio kuzungumzia msimu ila "Kicheko"

al maarufu Kicheko mtata mwamba ikifika kipindi hiki cha msimu ndio JD yake inafanya kazi, tangu asajiliwe ni kama sio kama ni amepotea kabisa kwenye ulimwengu wa aliokuwepo labda arudi Ze Comedy, kwa wanaofatilia msimu huko mikoani ndio sehemu zake za kujidai hasa kwenye PA za mtaani, baada ya msimu sijui huwa anaenda wapi,

hivi leo huyu mtu alietukusanya kusikiliza kipindi cha Genge na kuvikwa vyeo lukuki uswazi leo hii kashuka nakuwa sehemu inayomfaa ni kwenye PA za mtaani..? (shangazo)
Tamaa ya fisi
 
Kwani yalishia wapi maana baada ya kupokelewa walidai atakuwa mtangazaji wa kipindi kitakachoitwa ''uswazi flava''
 
Kwani yalishia wapi maana baada ya kupokelewa walidai atakuwa mtangazaji wa kipindi kitakachoitwa ''uswazi flava''
Uswazi flava, ilienda hewani kama mwezi mmoja wakaifyekelea mbali, watu wa maudhui naona waliona hainamilage
 
Kuna kipindi cha family love mbona gambo hayupo tena yupo Dada mmoja wakuitwa Lilian
 
Alivyokuwa toka E fm walitabili kwamba atapotea na kweli yametimia yaani Clouds walitaka kuikomoa E fm Sasa kuna wakina Fido
 
Clouds hawakuwa wanamuhitaj kicheko,

Ila walikuwa wanataka kuinyong'onyeza Efm

Walipopanda dau, akaingia mkenge
aanze na wewe kwanza

kabisa, yaani jamaa sijui anafanya nini pale, ndio maana unashauriwa sio kila kazi yenye mshahara mkubwa ni ya kuikimbilia, pia angalia kama inakujenga au inakubomoa
 
Clouds hawakuwa wanamuhitaj kicheko,

Ila walikuwa wanataka kuinyong'onyeza Efm

Walipopanda dau, akaingia mkenge
umesema vyema kabisa, ndio tunayoyaona sasa
 
Alivyokuwa toka E fm walitabili kwamba atapotea na kweli yametimia yaani Clouds walitaka kuikomoa E fm Sasa kuna wakina Fido
ndio kilichopo sasa, yaani hata kwenye fiesta anafanya ilimradi liende sio yule tena wa Efm
 
Alivyokuwa toka E fm walitabili kwamba atapotea na kweli yametimia yaani Clouds walitaka kuikomoa E fm Sasa kuna wakina Fido
ndio kilichopo sasa, yaani hata kwenye fiesta anafanya ilimradi liende sio yule tena wa Efm
Kuna kipindi cha family love mbona gambo hayupo tena yupo Dada mmoja wakuitwa Lilian
mwenzetu uko sayari gani..?
 
Vp na Gerald Hando amepotea au amezidi kushine, me naona umaarufu bila hela ni kupoteza muda katika kutafuta maisha
 
Kiukweli genge kaiua mi binafsi simkubali yule mduanzi aliyeachiwa kijiti
Eeehh ndio msimu umeanza, ni msimu wa tamasha la muziki lililoanza kwa muda mrefu, lengo sio kuzungumzia msimu ila "Kicheko"

al maarufu Kicheko mtata mwamba ikifika kipindi hiki cha msimu ndio JD yake inafanya kazi, tangu asajiliwe ni kama sio kama ni amepotea kabisa kwenye ulimwengu wa aliokuwepo labda arudi Ze Comedy, kwa wanaofatilia msimu huko mikoani ndio sehemu zake za kujidai hasa kwenye PA za mtaani, baada ya msimu sijui huwa anaenda wapi,

hivi leo huyu mtu alietukusanya kusikiliza kipindi cha Genge na kuvikwa vyeo lukuki uswazi leo hii kashuka nakuwa sehemu inayomfaa ni kwenye PA za mtaani..? (shangazo)
 
Fact, case closed
hapo umezungumzia hela na kushine, Kushine BIG NO, ila Hela YES, ninachozungumza mimi ni kuangalia carrer yako pia sio pesa tu, yule Kicheko pesa imemponza kaenda kuuwa Carrer
 
Back
Top Bottom