Kicheko Mtata yuko wapi?

Ruyama

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
367
Reaction score
563
Jamaa aliondoka E-FM na kutimkia Clouds FM, namkumbuka siku hiyo mabodaboda walimsindikiza kwa mbwembwe, akapewa kipindi pale Clouds cha Nyimbo za Singeli kama alizokuwa akipiga E-FM siku hizi simsikii kabisa. Sijui atakuwa wapi nilikuwa namkubali sana.
 
Chalii msubiri msimu wa Figidi fiesitraa yeye na Meena Ally
 
Walimtoa clouds wakampeleka classic fm huko napo hakutoboa hata miezi mitatu vipindi vyote vikafutwa....
anaumia tu huko kuona fido na samio wanajilia mema ya efm
Hawa jamaa wana chemistry sanaa

Its not over until its over...[emoji769]
 
Alikurupuka kuhama kwa nyodo wakati alishajijengea ufaulme e-fm sasa yamemtokea puani hasikiki kabisa mbaya zaidi waliochukua nafasi yake wamefanya asahaulike zaidi.
 
Kiufupi Cloudz waliishobokea Singeli wakashindwa kuiendeleza, walizani wakimchukua huyo mtangazaji ndo Singeli itakuwa wameikamata kumbe waapi, matokeo yake wamemfanya Kicheko anahang tu (mchezaji asiye na timu)

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…