Ngoja tusubirie kipindi chake pale clouds kitaitwajeKwa hiyo itawalazimu Clouds waige kipindi alichokuwa ana fanya E-FM ... hata kwa kubadilisha jina lakini lazima kiwe cha singeli...!
Atakayekuwa na maslahi ya juu hatachukuliwa watangazaji...View attachment 397470View attachment 397472 aliyekua mtangazaji wa singeli na mchekeshaji kicheko achukuliwa na mahasimu wao clouds fm hawa jamaa sijui lini wataacha maugomvi yao ya kuchukuliana watangazaji
Wanaume wa dar[emoji23] [emoji23] [emoji23]eti wanaume wa dar, huyo kicheko ndio nani?
eti wanaume wa dar, huyo kicheko ndio nani?[/QUOTE
We ni ke?
Huu mchezo hauhitaji hasiraYaan sasa wanavyoipa promo kisingeli na walivyomteka manfongo waonekane wao ndo waasisi na wkt bila efm tusingejua kisingeli
Cloudz imedaka tuu, ila si mbaya ndo ushindaniYaan sasa wanavyoipa promo kisingeli na walivyomteka manfongo waonekane wao ndo waasisi na wkt bila efm tusingejua kisingeli
Na jina tayari duuuh.Uswazi flavour
Likewisemie ndio namsikia leo huyo kicheko
Mm naon clouds wanafulia sas watakua wan copy n pasteKwa hiyo itawalazimu Clouds waige kipindi alichokuwa ana fanya E-FM ... hata kwa kubadilisha jina lakini lazima kiwe cha singeli...!