Kicheko wa Efm achukuliwa Clouds

Kicheko wa Efm achukuliwa Clouds

Habari ndugu zangu ,

Kwa wale wakazi wa dar na wasikilizaji wa E-FM mtakuwa mnamjua huyu bwana anaitwa kicheko ambaye alikuwa anaendesha kipindi cha singeli nyakati za jioni pale E fm.

Sasa huyu jamaa bna kwa sasa ameshachukuliwa na Clouds FM ,na kusaini mkataba nao.

Sasa kwa sasa muda huu anahojiwa na clouda hawa wakina gea habib hapa na jamaa alivyo mjinga anapiga story zake za zamani jinsi alivyokuwaga mwizi. Hivi kweli haoni kama anajiaibisha na pia anafanya watu tumuone kuwa ni mtu mbaya. Na je hajui kuwa hawa clouds wanamtumia tu??


Ama kweli ujinga ni maradhi makubwa sana. Yaani mtu ametolewa na akina majizo then leo hii anakuja kuwa kama kalogwa
Unapofanya mahojiano na chombo chochote cha habari jitahidi uchague cha kuongea na si lazima ujibu kila unachoulizwa vingine ni binafsi na vinafaa kubaki binafsi kwakuwa maisha bado yapo na mwisho wa siku utabaki wewe kama wewe (usijiharibie)
Unapofanya mahojiano kama hayo epuka kabisa kumponda mwajiri wako wa zamani kwakuwa hakuna mkamilifu na huyajui ya kesho
 
Unapofanya mahojiano na chombo chochote cha habari jitahidi uchague cha kuongea na si lazima ujibu kila unachoulizwa vingine ni binafsi na vinafaa kubaki binafsi kwakuwa maisha bado yapo na mwisho wa siku utabaki wewe kama wewe (usijiharibie)
Unapofanya mahojiano kama hayo epuka kabisa kumponda mwajiri wako wa zamani kwakuwa hakuna mkamilifu na huyajui ya kesho
Kweli kabisa kaka
 
Siku hizi wachekeshaji na wasanii ndio wanapata kazi za utangazaji wale waliosomea kazi wanayo
Mpoki,Giggy Money,Idris,Bi Hindu,Swebe,Kicheko,Monalisa,Zembwela,Feza Kessy
 
Watoto wa kishua bhana... eti EFM ndio wameanzisha Singeli!! Huku Ushenzini tupo na Singeli miaka na miaka sasa halafu mtu aseme EFM ndo wameianzisha!!! Ni kama mtu aseme Radio One ndio walianzisha Charanga hata kama ishakufa kibudu!!!!

Mkuu hata Ziwa Tanganyika wanasema aliyelivumbua ni mzungu, David Livingstone kama sijakosea.

Wakati wabongo tulikuwa tunaliona kabla hata huyo mzungu hajazaliwa.
 
kama kuna maslai anayoona yatamtoa mwache asaini shavu coz hayo ni maisha yake mi namtakia kila la kheri
 
Mkuu hata Ziwa Tanganyika wanasema aliyelivumbua ni mzungu, David Livingstone kama sijakosea.

Wakati wabongo tulikuwa tunaliona kabla hata huyo mzungu hajazaliwa.
Sawa Mkuu lakini pamoja na yote hayo, hao Wazungu waliishia kusema "tumevumbua!" na sio "tumelianzisha!"
 
Sawa Mkuu lakini pamoja na yote hayo, hao Wazungu waliishia kusema "tumevumbua!" na sio "tumelianzisha!"

Kwa hiyo hao jamaa inabidi wawe wanasema EFM imevumbua Singeli.

Nimekusoma mkuu.
 
Huko kapotea kabisa na walioziba nafasi yake Efm wanafanya poa zaidi yake
 
Back
Top Bottom