Kichochoro cha kupitisha Dhahabu Musoma kwenda Kenya kifuatiliwe

Kichochoro cha kupitisha Dhahabu Musoma kwenda Kenya kifuatiliwe

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
 
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
Pascal Mayalla Waambieni kwenye hili nina source ya ukweli
 
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
Hakuna kitakachoweza kufuatilia kitu.
Kiongozi alopata uongozi kwa wizi hawezi kumkamata mwizi au hanasifa ya kumwita mwenzake mwizi.
 
Ikiwa Tanzania inakusaidiaje?
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
 
Huu mpaka mtu ashawahi bigwa billions za hela na kutaifisha gari zake zote kama adhabu naona watakua wameanza tena......
 
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
Doto Biteko atabisha 😏
 
Simple logic tu lazima ujiulize Kwa nini dhahabu iende Kenya yaani Kwa nini mtu awaze kwenda kuuza Kenya na si Tanzania? njia za kuvusha vitu vya magendo zipo nyingi sana kuanzia migodini mpaka nje ya nchi, kikubwa tuangalie tuna tatzo sehemu gani sisi kama sisi kwanza
 
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
Mbunge katumia milioni 32 kodi yetu kujenga daraja la mda la miti hapa unamhahakishia vipi mlipa kodi kodi yake ni salama kama mlipa kodi ashirikishwi kwenye matumizi ya kodi yake.
 
Hadi dhahabu itoroshwe Ipo kiasi gani.
Maana dhahabu tu ya kukaa mfukoni au ndani ya chupi au kwenye soksi thamani yake ni mamilioni
 
Back
Top Bottom