Kichochoro cha kupitisha Dhahabu Musoma kwenda Kenya kifuatiliwe

Kichochoro cha kupitisha Dhahabu Musoma kwenda Kenya kifuatiliwe

Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
hicho ndio kinampa kiburi sana kenyatta. kama tulivyojitahidi kwenye tanzanite, tujitahidi kwenye dhahabu pia.
 
Acha umbea mtoto wa kiume huo ni wivu sasa haya sasa fanikiwa wewe sasa

Lipeni kodi acheni biashara za kichinichini. Fungueni kampuni na ilipe kodi . Faida nyingine mkionekana mnalipa kodi na kuweka kampuni hata mikopo ya bank unaweza kupata sasa mtaishia kutaifishwa mali zenu zote na iko siku utabaki huna kitu. Haya ni mawazo tu

1. Fungua kampuni
2. Fungua akauni ya bank ya kampuni
3. Tafuta mhasibu wako
4. Lipa kodi na kuweka rekodi zako

Utashangaa biashara yako itakuwa hivi vipanya utarudi umasikini tu
 
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.


Nashauri polisi wafuatilie bado tunaibiwa sana
 
Nchi ya ajabu sana hii. Suala kama hili hawajalifanyia kazi. Hopeless kabisa.
 
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
Nasikia bado wanapitisha
 
Juzi nimeambiwa habari za kushtusha na inabidi nizitoe kwa serikali yetu. Inasemekana kuna Mtanzania ambaye anakaa Kenya mpakani na Tanzania kwa upande huu wa Mkoa wa Mara. Huyu Mzee kazi yake kubwa ni kununua Dhahabu za kimagendo ambazo hazilipiwa kodi. Inasemekana hiki ndicho kichochoro kikubwa cha kupitisha dhahabu kutoka Tanzania halafu wanatafuta njia Kenya ya kuzipeleka Dubai.

Kibaya watu wanajisifia kwamba huu ni mpaka ambao wanahonga kidogo tu na kupita na tayari wana watu wao pale mpakani. Vitu kama hivi ndiyo vinafanya kuwe na kodi za ajabu kwansababu wafanyabiashara/wachimbaji wadogo wadogo wamekuwa vinara wa kukwepa kodi. Tanzania ikipata kodi kwa njia za madini na nyingine ambazo kwa sasa watu wanachenga itapunguza maumivu makubwa ya kodi nyingine kwa masikini.

Watanzania tuweombe risiti na kuhimiza hivi vitu vya kimachinga vilipiwe kodi. Lakini tukiona mabaya tusisubiri na kujiona kama vile hayatuhusu maana mwisho wake yanatuhusu.
Kama pesa zinaibiwa pale ikulu .akiwa anaona unahitaji kujitoa ufaham huyu mama kuumiza kichawa chake na mambo magumu hivyo
 
Back
Top Bottom