Kichomi kwa kiingereza kinaitwaje?

inategemea kinachoma wapi huwezi kiita abdominal pain wakati kinachoma mgongoni utakuwa unatulisha matango poli
 
Tunahitaji Kamusi ya Kitabibu kwa kweli. ...

Kuna kisa nilisumiliwa, New Parents wamempeleka mtoto kwa Dr alikuwa anasumbuliwa na Kwi Kwi...sasa hawakujua jina lake kwa kingereza. ...

Dr anauliza mtoto anashida gani mzazi anasema kwikwi /quick quick....

Ilichukua mda mpaka yule mtoto alipata tena KwiKwi wakiwa pale kwa Dr..ndio ikabidi wamuonyeshe Dr.

Yule mtoto aliishia kupewa jina la Hiccups....kama utani....na amekua nalo watu wa nyumbani wanamwita hivyo.
 
Hii imenikumbisha nikiwa primary kweli mtihani waliuliza taja magonjwa 3 yanayotibika kwa njia ya chanjo nikasema kichomi kwa maana navyoelewa kichom ni kama kuna damu kuganda kwa hyo unapiga chale kidgo kwa wembe basi panapona
 
Kitu chenye ncha kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…