ashy me
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 460
- 299
Habar za humu,
Jumatatu ya wiki hii alfajir ghafla nilibanwa na kichom upande wa kushoto juu kidg ya kiuno ilikuwa n mara ya kwanza na maumivu yalikuwa makali hayana mfano mpks nikaenda kulazwa dispensary moja nlitundikiwa drip na nlichomwa sindano haraka haraka NNE baada ya saa moja kilitulia.
Dalili za ugonjwa huku nlizpata muda jpo ckujua ilikuwa nikisimama DKK kumi naumia sana juu ya kiuno kushoto na nikikaa hal hiyo inapotea miezi.
Naomben ushaur kwa doctors humu inawezkana n tatzo gan na vipimo VP vya kufanya maana hta baada ya kutundikiwa drip na sindano kimeamia upande wa kulia na walinipa piroxicam tu
Jumatatu ya wiki hii alfajir ghafla nilibanwa na kichom upande wa kushoto juu kidg ya kiuno ilikuwa n mara ya kwanza na maumivu yalikuwa makali hayana mfano mpks nikaenda kulazwa dispensary moja nlitundikiwa drip na nlichomwa sindano haraka haraka NNE baada ya saa moja kilitulia.
Dalili za ugonjwa huku nlizpata muda jpo ckujua ilikuwa nikisimama DKK kumi naumia sana juu ya kiuno kushoto na nikikaa hal hiyo inapotea miezi.
Naomben ushaur kwa doctors humu inawezkana n tatzo gan na vipimo VP vya kufanya maana hta baada ya kutundikiwa drip na sindano kimeamia upande wa kulia na walinipa piroxicam tu