Kichwa cha Habari Gazeti la Mwanaspoti lenye Mhariri Mkuu mwana Yanga SC limemaliza Ubishi Makundi CAFCL

Tatizo jamaa Hana majukumu hana mke, hana watoto mademu anachukua wa kununua ingawa umri unamtupa mkono ndo maana muda mwingi anawaza ujinga
 
Tatizo jamaa Hana majukumu hana mke, hana watoto mademu anachukua wa kununua ingawa umri unamtupa mkono ndo maana muda mwingi anawaza ujinga
Mbona hujasema pia kuwa huwa nakuweka / nakupakuwa? au hii ibakie tu kuwa Siri yetu?
 


1. Hakuna Mtu anayekuchukia kwasababu mimi Binafsi sikukujui na sitaki hata kukujua.

2. WATU hawapendi uwasilishaji wako wa habari, UMBEA mwingi, USHIRIKINA mwingi, uongo Mwingi, kujisifu mbwembwe na kebehi.

3. Taarifa zako nyingi zimejaa UTOTO na hakuna cha maana unachokiandika.
Hakuna source Wala Reference yoyote.


4. Unavyoviandika havina Maana kwenye Jamii na ni Taka taka WATU hawajifunzi chochote KUPITIA wewe.


5 Mwisho wa siku unajaza serva za Jamii Forum bila sababu yoyote ya maana
 
ujumbe huu najaribu kuuweka kwenye vitendo yaani mikono nairusha hatari kwa msisitizo.....

halafu anae anaembiwa kakaa kwenye bench, ana kikombe cha uji wa moto na ujumbe wa moto vilevile dah
Baiskeli tu sina hilo Gari nilitoe wapi Mkuu?
haya bana,
ila lift ntaendelea kuomba na kupanda gari lako ntaendelea kupanda tu...
 
Rubbish and Nonsensical.
 
Kaka Achana nae kwa kuitunza heshima yako

Ukiwa unaoga KICHAA akakimbia na NGUO zako usimkimbize utaonekana wewe KICHAA.

LINDA HESHIMA YAKO.
Ukichaa wangu unauzidi wa aliyekuleta duniani?
 
Popoma limeanza kuhara tena jukwaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…