Wasalaam JF,
Nina mtoto wa miezi saba (7) ambaye tangu akiwa na miezi minne amekuwa na tabia ya kuwa na joto kali kichwani wakati sehemu zingine za mwili zipo na joto la kawaida. Hii imekuwa ikitokea mara kadhaa hasa usiku. Nilimwona Dr wa watoto nikamweleza akasema inawezekana ni VIRAL infection kwa hiyo itakwisha yenyewe. Sasa anamiezi saba na hiyo hali imekuwa ikijirudia.
Naomba ushauri kwa anayefahamu au aliyewahi kukutana na hali kama hii
Natanguliza shukurani
Nina mtoto wa miezi saba (7) ambaye tangu akiwa na miezi minne amekuwa na tabia ya kuwa na joto kali kichwani wakati sehemu zingine za mwili zipo na joto la kawaida. Hii imekuwa ikitokea mara kadhaa hasa usiku. Nilimwona Dr wa watoto nikamweleza akasema inawezekana ni VIRAL infection kwa hiyo itakwisha yenyewe. Sasa anamiezi saba na hiyo hali imekuwa ikijirudia.
Naomba ushauri kwa anayefahamu au aliyewahi kukutana na hali kama hii
Natanguliza shukurani