Kichwa cha Treni Kitabadilika kuwa hivi?

Kichwa cha Treni Kitabadilika kuwa hivi?

Wakati mwingine nikifuatilia maoni ya wabongo wenzangu, huwa sishangai kwa nini hadi leo tumekuwa watumwa wa CCM...

Watu hawana muda na kutafakari kabisaaaaaa...

Ushaambiwa kichwa kimeletwa kufanya majaribio ya vitu kadha wa kadha, kucheck kama reli inaweza support desired top speed, kucheck mifumo ya mawasiliano kama inafanya kazi sawa, kiwango cha umeme n.k., lakini bado kuna watu wamekomaa kuona kama hicho kichwa ndio prototype...

Yaani mtu hata hajiulizi, kama hiyo locomotive ndio itayopiga mzigo mbona kije kichwa tu na hakuna mabehewa?

Ukiachana na hilo, hivi kweli kipokelewe kichwa kitachopiga mzigo safari zikianza, halafu CCM wasiandae hata sherehe za kupokea kichwa hicho? Yaani si tungemuona Samia kaweka maturubai hapo bandarinkama wanavyofanya kwenye upokeaji wa ndege...
Umenena vyema, watanzania kiwango cha kupambanua mambo kipo chini mno.
 
Kama tulipigwa kwenye radar
Kama tulipigwa kwenye ndege
Kama tulipigwa kwenye kivuko
Kama tulipigwa kwenye mitambo ya TBC
Kama tunapigwa daily kwenye madini
Kama tunapigwa daily kwenye kodi daily
Kama tunaendelea kupigwa kwenye bidhaa feki daily nknk nk. Sioni ni kwa namna hatuwezi kupigwa kwenye train za umeme.. Sijui ni maajabu gani yatafanyika hapa
 
Jamani situmekubaliana kwamba majaribio yanafanywa na mikweche? mlitaka walete ferari kwaajili ya kutesti mitambo? hahaaaaaa , kuna sehemu mdau anadai eti kichwa kile ni cha vita ya pili ya dunia, hahahaaaaaaaaaa, wabongo tunapigwa sana tuu
 
Mimi kwa akili zangu watoto ni wale waliodanganya kusema ni cha mkandarasi maana walijua wataulizwa yaani unatengeneza reli ya kisasa harafu unaleta chakavu ndio ifanye majaribio yepi kama sio uongo...kwa nini wasilete vyenyewe hata kwa kusubiri
Mkataba wetu na serikali yenu haupo hivyo unavyotaka wewe, sisi tulikubaliana kupitia International agreements Laws in infrastructure so uwe mvumilivu.

Kumbuka bado upo Africa every thing possible.
 
Hivi unawezaje kutest kwa kitu kisicho halisi, ..yaani kinatestiwa hicho cha jana halafu vitakavyokuja kufanya kazi ni vingine huoni kama hakuna uhalisia hapo?

Kinachofanyiwa test sio treni bali njia ya SGR na mifumo yake...

Treni zipo za makampuni mengi, je unataka kumaanisha kuwa kila mara tutapokuwa tunabadili treni italazimu kufanya tests?
 
Si tatizo kwenye hatua hiyo ngoja tusubiri matokeo kama tutaletewa nyama au dagaa wa nyama

Mkuu, hicho kichwa kilicholetwa ni product ya Austria (Ulaya), kimeundwa na makampuni mawili ambayo ni SGP Graz (mechanical) ELIN (electrical)

Treni zitazokuja piga mzigo, order yake ni kutoka Korea ya Kusini (Asia) na itaundwa na Hyundai Rotem
 
Hivi unawezaje kutest kwa kitu kisicho halisi, ..yaani kinatestiwa hicho cha jana halafu vitakavyokuja kufanya kazi ni vingine huoni kama hakuna uhalisia hapo?
Mbona dereva anatestiwa kwa volvo kisha anapewa scania? Shida sura au matumizi!?
 
All in all bado tutaletewa old fashion trust me! Hatuwezi kamwe kuletewa vyuma vya kisasa vinavyotrend huko kwao
Kumbuka speed jet fighters tulizoletewa na wavimba macho, zilikuwa tayari outdated kule kwao.. We are still their dampling site
Unanunua kulingana na uwezo hakuna manufacturer atakataa kukuuzia kama mzigo upo.

Tunakuwa dumple sababu hela tunatoa kidogo huwezi kupata kitu cha maana.
 
IMG_5027.jpg

IMG_5026.jpg

History
Following the fall of the iron curtain, the ÖBB needed new locomotives to cope with the increase in international traffic. The 1014 was developed to operate from the Austrian 15 kV AC, 16 2⁄3 Hz electrification, as well as the 25 kV AC, 50 Hz electrification used by ČD and ŽSR.

Withdrawal from the ÖBB
In 2009 the locomotives were withdrawn and stored, with the ÖBB selling the locomotives at scrap value between 2008 and 2010, with each locomotive sold for 15,000 euros each, compared to the approximately 4 million euros per locomotive originally paid. This drop in value, combined with the short service life of the locomotives, led to criticism of the Federal Railways.

Post ÖBB usage
Following the withdrawal of the locomotives by the ÖBB in 2009, the locomotives have spent long periods in storage. In 2016, 16 of the locomotives were moved to Romania, although they were not used. In August and September 2018 they returned to Austria, and are now used by Zeller Transport Technik on freight services.

After the bankruptcy of Zeller Transport Technik, four locomotives were sold to [[ASWILE SIMON]] and shipped to Tanzania in January 2022.
 
Bado kuna watu wanashupaza shingo ooh kipyaaa , kipyaaaa, technolojia inaumbua sana nduguzangu , na tusubiri hivyo wanavyosema vinaundwa Korea Kusini, utashangaa wembe ule ule makitu used ya Dubai watatuletea , yaani kwa ufupi ni aibu
 
Mkuu, hicho kichwa kilicholetwa ni product ya Austria (Ulaya), kimeundwa na makampuni mawili ambayo ni SGP Graz (mechanical) ELIN (electrical)

Treni zitazokuja piga mzigo, order yake ni kutoka Korea ya Kusini (Asia) na itaundwa na Hyundai Rotem
Asante kwa ufafanuzi[emoji1545]
 
Back
Top Bottom