Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Tatizo Wabongo mushazoea kutapeliwa, na ndio maana kila siku munatapeliwa.
Uyu kwa kizungu si ndo anaitwa "VULTURE"
Tumbusi ndio tai, nadhani wanatofautiana aina za muonekano tu kulingana na wanapotokea.Ndege Tumbusi au Tai ?
🤣 🤣 🤣 Fursa...Nauza ndege [emoji211] tumbusi kwa maelezo zaidi piemu
Hawa ndege kwa Tanzania wanapatikana wapi siku hizi ?
Wanapatikana Hifadhi ya Ruaha,kwa uchache,wapo hatarini kutoweka kwa sababu;Hawa ndege kwa Tanzania wanapatikana wapi siku hizi ?