Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Habari mabibi na mabwana, bila shaka ni wazima, na mida hii kila mmoja wetu yupo kwenye mihangaiko yake ya kujitafutia mkate wa kila siku.
Nisiwachoshe sana twendeni kwenye dhumuni la habari hii.
Habar hii naileta kwenu kama story, lakini ni story ya kweli wala sio alfulela ulela.
Ushawahi sikia habari za kichwa cha tumbusi (huyu tumbusi ni ndege) na maajabu yake?
Kama ushasikia basi Unaruhusiwa kuongezea nyama, kama bado ngoja nikumegee kidogo.
Kuna mzee wangu mmoja huyo anaishi Wilaya ya Balama, kata ya Mavala, kijiji cha Sapamueto, ndani ya mkoa wa Cabo del Gado.
Huyu mzee ni mjumbe wangu wa kamati ya ufundi (mganga wangu).
Kwa muda mrefu sana huyu mzee nimekua nafanya nae kazi (issue zangu nyingi huwa namshirikisha) na mara nyingi kazi zangu zinaenda kama ninavyo taka.
...........................................
...........................................
ANGALIZO : Mimi ni mchimbaji, na madini bila ushirikina utakua unasindikiza watu tu.
***************
Kikawaida nikimuona mganga ni mtaalam kweli (sio tapeli) hupenda kumuomba anifanyie vitu ambavyo sintaweza kumsahau mganga huyo.
Kwanza napenda kumuomba anisafishe mwili wangu (kunipa kinga ya mwili wangu dhidi ya husda za wachawi)
Siku moja nilienda kumpa shukrani mzee wangu (hapa kuna issue ilienda kama nilivyo taka) baada ya maengezi ya hapa na pale, nikamgusia kuusiana maswala ya kinga ya mwili wangu dhidi ya uchawi.
Mzee akazama ndani ya makablasha yake na kunitolea kichwa cha ndege.
Akaniuliza unamjua TUMBUSI?
Nikasema sijawahi kumuona lakini hilo jina sio geni masikioni kwangu.
Akatoa kile kichwa na kunikabidhi nikiangalie.
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Nakuja mida si mirefu.
Nisiwachoshe sana twendeni kwenye dhumuni la habari hii.
Habar hii naileta kwenu kama story, lakini ni story ya kweli wala sio alfulela ulela.
Ushawahi sikia habari za kichwa cha tumbusi (huyu tumbusi ni ndege) na maajabu yake?
Kama ushasikia basi Unaruhusiwa kuongezea nyama, kama bado ngoja nikumegee kidogo.
Kuna mzee wangu mmoja huyo anaishi Wilaya ya Balama, kata ya Mavala, kijiji cha Sapamueto, ndani ya mkoa wa Cabo del Gado.
Huyu mzee ni mjumbe wangu wa kamati ya ufundi (mganga wangu).
Kwa muda mrefu sana huyu mzee nimekua nafanya nae kazi (issue zangu nyingi huwa namshirikisha) na mara nyingi kazi zangu zinaenda kama ninavyo taka.
...........................................
...........................................
ANGALIZO : Mimi ni mchimbaji, na madini bila ushirikina utakua unasindikiza watu tu.
***************
Kikawaida nikimuona mganga ni mtaalam kweli (sio tapeli) hupenda kumuomba anifanyie vitu ambavyo sintaweza kumsahau mganga huyo.
Kwanza napenda kumuomba anisafishe mwili wangu (kunipa kinga ya mwili wangu dhidi ya husda za wachawi)
Siku moja nilienda kumpa shukrani mzee wangu (hapa kuna issue ilienda kama nilivyo taka) baada ya maengezi ya hapa na pale, nikamgusia kuusiana maswala ya kinga ya mwili wangu dhidi ya uchawi.
Mzee akazama ndani ya makablasha yake na kunitolea kichwa cha ndege.
Akaniuliza unamjua TUMBUSI?
Nikasema sijawahi kumuona lakini hilo jina sio geni masikioni kwangu.
Akatoa kile kichwa na kunikabidhi nikiangalie.
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Nakuja mida si mirefu.