Kichwa cha uume kimevimba kama ngumi ya mtoto mchanga

Mashariki ya kati
Umejibu vema,ila ingekuwa vema zaidi kama ungeweka avatar ya picha YAKO kabisa... jiamini why umuweke mwanamke mwenzio? Ww hujiamini au?
 
Siuende hospitali jamani, hayo mambo ya mizizi utajikuta unaongeza tatizo maradufu,hebu achana na hizo Imani nenda hospitali Kwanza unaweza kukuta ni tatizo la kawaida tu na linatatulika kitaalam wewe unataka dawa asili.
 
Uzi bila picha ni BATILI & CHAI
 
Umejibu vema,ila ingekuwa vema zaidi kama ungeweka avatar ya picha YAKO kabisa... jiamini why umuweke mwanamke mwenzio? Ww hujiamini au?
Tatizo umezoea mambo ya fesibuku. Hii ni JF
 
Kwanz Pole sana ila navyo kuona unaminisana mambo ya ulozi ambayo unahisi utapona any way sinto kupinga sana japo kwa ushauri wangu ungeendq hospitali ungepata mawazo mbadala .... japo nikweli haya mambo yapo
 
Gono nalo huwa linavimbisha uume sijui uume wako kama umevimbaje ungeweka hata picha yako tukija kwenye uchawi pia nasikia huku Iringa kuna mganga maarufu kwa sasa kawavimbisha wengi wanaotembea na watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…