GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,225
Hii kitu kusahau naiogopa sana, kuna dingi aliingia supamaketi akanunua atakavyo kisha akatoka nje akaita tex akasepa home, jioni akiwa nyumbani anawaambia watoto waoshe gari, watoto wanamwambia baba gari hakuna nje, akashtuka kumbe kaacha parking ya supamaketi tangu mchana.
Kuna mmoja nilikuwa nafanya kazi nae, alikuwa msahaulifu bosi akamwambia awe anatembea na note book kwa ajili ya kuandika to do list, siku ya kwanza tu akasahu wapi kaweka notebook yake, bosi akampa nyingine lakini baada ya masaa mawili akasahau wapi kaweka kalamu.
Kuna mmoja nilikuwa nafanya kazi nae, alikuwa msahaulifu bosi akamwambia awe anatembea na note book kwa ajili ya kuandika to do list, siku ya kwanza tu akasahu wapi kaweka notebook yake, bosi akampa nyingine lakini baada ya masaa mawili akasahau wapi kaweka kalamu.