Uncle Yoso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 378
- 262
HABARI WANA JF
Mimi ni kijana wa miaka 19 nasumbuliwa na kuumwa na kichwa, kinauma sana sana na kinabana kwa zaidi ya miaka 2 sasa. Kikiuma hakielewi A wala B, nimekwenda hospitali bila kupata matokeo yoyote ambapo wananipima kwenye macho kadha wa kadha bila mafanikio na zaidi ni kuvaa miwani bila mafanikio yoyote na pia MIGUU HUWA INA CHOMA CHOMA NA KUISHIWA GANZI na sifahamu nini tatizo ambalo linasumbua.
NAOMBENI KUJUA TATIZO NI NINI WANA JF
Mimi ni kijana wa miaka 19 nasumbuliwa na kuumwa na kichwa, kinauma sana sana na kinabana kwa zaidi ya miaka 2 sasa. Kikiuma hakielewi A wala B, nimekwenda hospitali bila kupata matokeo yoyote ambapo wananipima kwenye macho kadha wa kadha bila mafanikio na zaidi ni kuvaa miwani bila mafanikio yoyote na pia MIGUU HUWA INA CHOMA CHOMA NA KUISHIWA GANZI na sifahamu nini tatizo ambalo linasumbua.
NAOMBENI KUJUA TATIZO NI NINI WANA JF