Umelewa?
Awe mwembamba kwa sababu hipi?Unamzungumziaje yule mtu mnene ambae ana punguza mwili ili awe mwembamba..hebu a tuanzie hapo
Kwa sababu hizo hizo mkuu.ππAwe mwembamba kwa sababu hipi?
πππππππππ Sawa bhanaKwa sababu hizo hizo mkuu.ππ
Inaonekana una vibonge wewe si buree loh!
Itakuwa Gongo hii,,Umelewa?
Kiafya na kifashoooni..πππππππππ Sawa bhana
Kama ni kwaajir ya kwenda na fashion Huyo mara nyingi huwa na matatizo ya kiakil.
Ila kama ni kwasababu za kiafya hapo ni sawa
kwa hao wamama wanaangukia hapaKuna wana wangese sana humu ndani nawachana
Na wamama mnajifanya wafia dini kenge nyie
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mambo Kama haya ndo yamekimbiza wengi Facebook.Niaje mambo vipi? Wadau nipo nawasalimia kuanzia wewe na familia yako mko poa, okey wadau mi sina maneno mengi [emoji16] Sana ila niseme tu maisha haya ni kusameana tu na mwaka karibia unaisha tusiwe na viyongo ndani ya mioyo yetu,
Ndo maana tunakonda wewe toka Asubuhi mpaka jioni unakula tuuuu hunenepi Ni kwa sababu ya chuki na vitu umeweka rohoni shwain sana wewe vitoe hivyo wewe, kama hujafutuka kama litembo[emoji2955]
Mimi leo ni mwendo wa kuwachana tu au vipi ila tupo pamoja wadau nimejiskia tu [emoji1751][emoji2957][emoji125] nyote Usiku mwema
we mremboUna umri gani? Umetimiza 12 yrs kweli?