financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Yes babe, how are you!we mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes babe, how are you!we mrembo
im good how av u been my cinderella?Yes babe, how are you!
Am doing great babe Extrovert, how was ur day?im good how av u been my cinderella?
Yes babe, how are you!
Mtaachana tu... ngoja kesho tukabadili nchi yetu kwanzaim good how av u been my cinderella?
Hufiki bbyMtaachana tu... ngoja kesho tukabadili nchi yetu kwanza
Acha wivu hatuachani huyoo🤭, nyie badilisheni nchi sisi jimbo letu ni bila kupingwa tu😀😀Mtaachana tu... ngoja kesho tukabadili nchi yetu kwanza
Mambo Mzigua! sijakuona kitambo, hakajambo kahandsome kako?(son)Hufiki bby
Poa mpenzi. Nipo mama. Maisha yanakaba hadi bundle inakua shida (kidding).Mambo Mzigua! sijakuona kitambo, hakajambo kahandsome kako?(son)
Kesho mbona mbali? Wataachana usiku huu huu na kesho kwenda kupiga kura watakwenda kila mtu na lwake!Mtaachana tu... ngoja kesho tukabadili nchi yetu kwanza
Aah haya dear watu tunakumiss humu usipotee sana, unatutesa wengi😀Poa mpenzi. Nipo mama. Maisha yanakaba hadi bundle inakua shida (kidding).
My son hajambo.
Hadi Soulmate unaniombea tuachane jamani😀😀, nimechokwa hakika.Kesho mbona mbali? Wataachana usiku huu huu na kesho kwenda kupiga kura watakwenda kila mtu na lwake!
Ooh sorry, it wasn't my intention to hurt you salimeti, na maneno yako yameshatimia usiku huu tumeachana tayari😂😀There goes mai soulimeti. This hurts [emoji24][emoji24][emoji24]
najaa bby ngoja kwanza nimalizie hizi za huku....Hufiki bby
Na iwe hvyo....Kesho mbona mbali? Wataachana usiku huu huu na kesho kwenda kupiga kura watakwenda kila mtu na lwake!
Super sturdy, i bet you had a stunning day as well..my bebe 😍Am doing great babe Extrovert, how was ur day?
Hahahah uje nikupe kibuyu, ungo na unyoya mkuu! Nilikuwa naskia nywele kusisimka mda ule kumbe ndo mlikuja kupiga misele geto kwangu.Kesho mbona mbali? Wataachana usiku huu huu na kesho kwenda kupiga kura watakwenda kila mtu na lwake!
Tushamaliza kazi mkuu. Pole sana [emoji1734][emoji1734][emoji1734][emoji1734]Hahahah uje nikupe kibuyu, ungo na unyoya mkuu! Nilikuwa naskia nywele kusisimka mda ule kumbe ndo mlikuja kupiga misele geto kwangu.