Kidali: Ingia BBC iPlayer angalia kipindi kinaitwa ‘war games,

Kidali: Ingia BBC iPlayer angalia kipindi kinaitwa ‘war games,

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
4,950
Reaction score
10,977
Tanzania tunachukulia vitu poa sana.

IMG_7591.jpeg


IMG_7590.jpeg


IMG_7589.jpeg


Weka VPN ingia BBC iPlayer angalia kipindi kinaitwa ‘war games’ uone jinsi usalama wa taifa wa marekani walivyoogopa hii scenario na kutaka kujifunza hii situation isitokee tena kwa siasa za demagogue na wapotoshaji.

Sasa endeleeni kuwachekea wanaharakati uchwara kisa baba zao ni vigogo waliowahi kuwatumikia serikali, wakati kwenye hizo fujo kulikuwa mpaka na retired army generals waliokuwa wanachochea fujo.

Very interesting ukiweza kuona hiyo simulation story. Ila wazungu atuwawezi yaani kuna maafisa usalama na askari mpaka wanalia wakisumilia jinsi walivyostuka kuona raia wao wamepumbazwa na watu tu hadi kuwa radicals. Badala ya kulaumu raia wao ndio wanajiona ni failures kwenye kuilinda nchi.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili.

Good Morning

The whole idea, behind the simulation game ni team ya wataalamu wa usalama na wanasiasa kujifunza; how they should have handled the situation siku za mbele ikitokea waasi wamejipanga zaidi.

Halafu sisi hata wasaliti wa wazi tuna sema ni uhuru wa mawazo.
 
Acha kuchanganya usalama wa taifa na usalama kwa genge la viongozi wanaojiona wao tu ndio wanatakiwa kutawala milele.
Pentagon kamwe hawawezi kushirikiana na chama cha siasa kama TISS wanavyowasidia CCM kuiba kura ili kiendelee kubaki madarakani
 
Andiko lako lina uhusiano wowote na siasa za Tanganyika? Weka mifano ili hoja ionekane na kulinganishika.
Figure out the relationship to Tanzania context kwa kutumia akili zako (it’s an intelligent article).

Moreover, andiko lenyewe alijitoshelezi inabidi utafute bundle, VPN, address ya kubuma (ili uingie BBC iPlayer). Uangalie hiko kipindi ili tujadiliane or else sina muda wa kufafanua the entire game kwako halafu tuanze kujadili.


Ndio maana nikaeleza wapi weka ‘VPN’ ingia ‘BBC iPlayer’ na search kipindi kinaitwa ‘war games’; kwa sababu sikutaka kuelezea kila kitu kilichopo humo mie mwenyewe.
 
Figure out the relationship to Tanzania context kwa kutumia akili zako (it’s an intelligent article).

Moreover, andiko lenyewe alijitoshelezi inabidi utafute bundle, VPN, address ya kubuma (ili uingie BBC iPlayer). Uangalie hiko kipindi ili tujadiliane or else sina muda wa kufafanua the entire game kwako halafu tuanze kujadili.


Ndio maana nikaeleza wapi weka ‘VPN’ ingia ‘BBC iPlayer’ na search kipindi kinaitwa ‘war games’; kwa sababu sikutaka kuelezea kila kitu kilichopo humo mie mwenyewe.
Wewe ni mwana ccm na hapo umewazungumzia wapinzani kwa chuki tu. Hakuna haja ya kufungua video hiyo.
 
Umetafutiza weeh Hadi umepata kitu Cha kukazia ujangiri wenu kuwa ni Jambo halali.
Haijaloshi kikundi ha watu gani wamejipa jina gani mtabaki kuwa raia.
 
Wewe ni mwana ccm na hapo umewazungumzia wapinzani kwa chuki tu. Hakuna haja ya kufungua video hiyo.
Ndugu kuelewa inabidi uangalie hiyo video.

Provided wewe ni afisa usalama (ambae) utakiwi kuwa na chama ndio utaelewa.

Hiyo simulation play ni kwa ajili ya walinzi wa taifa sio ya kila mtu.
 
Umetafutiza weeh Hadi umepata kitu Cha kukazia ujangiri wenu kuwa ni Jambo halali.
Haijaloshi kikundi ha watu gani wamejipa jina gani mtabaki kuwa raia.
Mimi ni raia tu, Iła video na simulation yake aihusu raia. Inahusu vyombo vya usalama kujitafakari na madhara ya ndani. Kitu ambacho taifa kubwa kama US hawa kudhani inaweza kuwa shida kwao.

Sakata la January 6th 2021 kulikuwa na retired army general, army veterans luluki pamoja na white supremacy groups ambao walikuwa tayari kwa lolote kukataa matokeo.

Kilichozuia ghasia na internal insurgents kwa sababu waliokuwa wanapinga uchaguzi japo walikuwa na silaha; awakufyatua tu risasi zao. Vinginevyo hali ingeenda vingine kabisa.

Tafuta bundle na VPN uangalie hiyo documentary ndio utaelewa if national security matters is your thing.

Hii mada ilikuwa jukwaa la siasa mods, ndio wameileta huku.

Binafsi sina shida ya kusikiliza mambo ya washabiki wa West/Ukraine vs Russia nor mambo M.E vs Israel.

Halikadhalika huo aukuwa msingi wa mada ilipotoka. Hayo mambo yenu ya siasa za wengine msingi wa mabishano yenu wengine atuelewi, na hatutaki kujua na wala kuwaingiilia.
 
Ndugu kuelewa inabidi uangalie hiyo video.

Provided wewe ni afisa usalama (ambae) utakiwi kuwa na chama ndio utaelewa.

Hiyo simulation play ni kwa ajili ya walinzi wa taifa sio ya kila mtu.
Haina maana yoyote. Unalinganishaje vyombo vinavyofanya kazi kwa uhuru na vyombo vinavyofanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa.
 
Haina maana yoyote. Unalinganishaje vyombo vinavyofanya kazi kwa uhuru na vyombo vinavyofanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa.
Hata sijui nirudie mara ngapi kuelezea ili uelewe nilichoandika inataka uangalie hiyo simulation yenyewe.

Mengine ni mawazo tu ya wachangiaji.

Lengo la mada ni watu kutazama hiyo simulation.

Sasa naweza jibu hoja za mtu atakae, tazama lakini sio watu wanaotaka niwape majibu ya mambo ambayo sijasema. Ndio msingi wa maelezo ya post #/10 pia.

Wengine hatuna uvumilivu wa kurudia mambo yale yale, bora mod afute mada au muache ipotee tu; kama topić sio ya interest. Lakini utaratibu wa kurudia makusudi ya mada kwa upande wangu kuelezea kila mara inachosha.
 
Tanzania tunachukulia vitu poa sana.

View attachment 3114669

View attachment 3114670

View attachment 3114671

Weka VPN ingia BBC iPlayer angalia kipindi kinaitwa ‘war games’ uone jinsi usalama wa taifa wa marekani walivyoogopa hii scenario na kutaka kujifunza hii situation isitokee tena kwa siasa za demagogue na wapotoshaji.

Sasa endeleeni kuwachekea wanaharakati uchwara kisa baba zao ni vigogo waliowahi kuwatumikia serikali, wakati kwenye hizo fujo kulikuwa mpaka na retired army generals waliokuwa wanachochea fujo.

Very interesting ukiweza kuona hiyo simulation story. Ila wazungu atuwawezi yaani kuna maafisa usalama na askari mpaka wanalia wakisumilia jinsi walivyostuka kuona raia wao wamepumbazwa na watu tu hadi kuwa radicals. Badala ya kulaumu raia wao ndio wanajiona ni failures kwenye kuilinda nchi.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili.

Good Morning

The whole idea, behind the simulation game ni team ya wataalamu wa usalama na wanasiasa kujifunza; how they should have handled the situation siku za mbele ikitokea waasi wamejipanga zaidi.

Halafu sisi hata wasaliti wa wazi tuna sema ni uhuru wa mawazo.
Umetoa angalizo kubwa sana.
Hakuna uhuru usio na mipaka na kamwe hatuwezi kuanza na stage waliofikia wamarekani ya kutoa uhuru wakati taifa letu lina miaka 60+.
Kwa sasa Taifa linabidi kujengwa...IMMA FAHIMA ...
 
Umetoa angalizo kubwa sana.
Hakuna uhuru usio na mipaka na kamwe hatuwezi kuanza na stage waliofikia wamarekani ya kutoa uhuru wakati taifa letu lina miaka 60+.
Kwa sasa Taifa linabidi kujengwa...IMMA FAHIMA ...
Unajua lile sakata la Trump tarehe 6 mwezi wa kwanza 2021 kutaka kukataa matokeo ya uchaguzi. Aftermath yake vyombo vyao vya usalama marekani awakulichukulia poa kabisa kumbe kulikuwa mpaka na senior army general ‘Michael Flynn’ alienda Washington kuhamasisha fujo (wamesha mchukulia hatua).

Zaidi ya hapo kuna retired army general mwanamke mweusi ambae anakiri kukosana na wanajeshi wenzake (wazungu, seniors) wakati wa lile sakata, ambao walikuwa wanamuunga mkono Trump.

Sisi tunaweza ona lile tukio lilikuwa jepesi tu kumbe nyuma ya pazia kulikuwa na mambo mengi sana. Ndio msingi wa hiyo simulation (hata kama ni 20% realistic na jinsi US watakavyo handle) ikitokea tena. Ila Kuna somo la kujifunza kwa vyombo vya usalama ata kama ni 10%. US ya walichotoa realistic (sio wapuuzi wa kumwaga mtama, kwenye kuku wengi).
 
Unajua like sakata la Trump tarehe 6 mwezi wa kwanza 2021 kutaka kukataa matokeo ya uchaguzi. Kumbe vyombo vya usalama marekani awakulichukulia poa kumbe kulikuwa mpaka na mpaka senior army general ‘Michael Flynn’ ambae alikuwa Washington kuhamasisha fujo (wamesha mchukulia hatua).

Zaidi ya hapo kuna retired army general mwanamke mweusi ambae anakiri kukosana na wanajeshi wenzake (wazungu, seniors) wakati wa lile sakata.

Sisi tunaweza lile tukio lilikuwa jepesi tu kumbe nyuma ya pazia kulikuwa na mambo mengi sana. Ndio msingi wa hiyo simulation (hata kama ni 20% realistic na jinsi US watakavyo handle) ikitokea tena. Kuna somo la kujifunza kwa vyombo vya usalama ata kama 10%. US.
Uzoefu wangu kila linalotokea kwenye siasa hupangwa.
Hata hawa wakosoaji feki wa mtandaoni hupangwa na kulipwa
 
Uzoefu wangu kila linalotokea kwenye siasa hupangwa.
Hata hawa wakosoaji feki wa mtandaoni hupangwa na kulipwa
Kiongozi angalia hiyo kitu, kuna somo hapo.

Asubuhi njema

👋
 
Tanzania tunachukulia vitu poa sana.

View attachment 3114669

View attachment 3114670

View attachment 3114671

Weka VPN ingia BBC iPlayer angalia kipindi kinaitwa ‘war games’ uone jinsi usalama wa taifa wa marekani walivyoogopa hii scenario na kutaka kujifunza hii situation isitokee tena kwa siasa za demagogue na wapotoshaji.

Sasa endeleeni kuwachekea wanaharakati uchwara kisa baba zao ni vigogo waliowahi kuwatumikia serikali, wakati kwenye hizo fujo kulikuwa mpaka na retired army generals waliokuwa wanachochea fujo.

Very interesting ukiweza kuona hiyo simulation story. Ila wazungu atuwawezi yaani kuna maafisa usalama na askari mpaka wanalia wakisumilia jinsi walivyostuka kuona raia wao wamepumbazwa na watu tu hadi kuwa radicals. Badala ya kulaumu raia wao ndio wanajiona ni failures kwenye kuilinda nchi.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili.

Good Morning

The whole idea, behind the simulation game ni team ya wataalamu wa usalama na wanasiasa kujifunza; how they should have handled the situation siku za mbele ikitokea waasi wamejipanga zaidi.

Halafu sisi hata wasaliti wa wazi tuna sema ni uhuru wa mawazo.
Kwahyo watu wakitekwa,kubakwa na kuuawa tukae kimyya kama mazuzu syo?
 
Kwahyo watu wakitekwa,kubakwa na kuuawa tukae kimyya kama mazuzu syo?
Angalia documentwry niliyosema na issue of concerns ambazo wa marekani wamefanyia simulation.

Na kama utaangalia hiyo simulation yenyewe sio mzaha. Participant ni army general, senators, senior officers wa Department of home security, CIA, FBi na wengineo muhimu.

US hawakuchulia 2021 poa na madhara yake. Mimi nimeandika tu, Iła kama ni kujadiliana lazima uangalie hiyo documentary ni kama ya saa na nusu; na nimekuelezea namna ya kuangalia.

Honestly by now JF najua wote hatukutani kwenye mijadala ninayo changia; Iła nasisitiza na kwako sipendi watu wanaotoa vitu vichwani.

Kwa upande wangu nishaelezea msingi wa hoja yangu. Kama ngumu kuangalia ni sawa. Iła sasa tujibizane kwa kuangalia hiyo documentary kwanza.
 
Back
Top Bottom