Kidato cha 4 mambo safi, matokeo mapya hadharani..................... ................

Kidato cha 4 mambo safi, matokeo mapya hadharani..................... ................

Status
Not open for further replies.
Labda ni uelewa wangu mdogo; ila siamini kama UFAULU umeongezeka. KIlichofanywa ni kupandisha marks za WALIOFELI KWELI na kuwafikisha PAKUFAULU!!!!! Swali ni JE, WAMEFAULU KWELI AU WAMEFAULISHWA???
Usiwe na wasiwasi mkuu, goli limepanuliwa hata ukipiga na kidevu unachana nyavu.
 
Nimeingia site ya Necta naona hamna jipya. Nina shauku kwa kweli, wacha tuvute subira, labda ndio wana-upload file loh
 
Hivi serikali inafikiria nini na wale watoto waliokufa kwa matokeo mabaya waliopata?

Halafu leo wawe wamefaulu!
 
Jamani matokeo hayatoki leo ni mpaka ijumaa halafu bajeti isomwe trh 4 mnaosubiri imekula kwenu matokeo kutoka lazima kwanza waitwe waandishi wa habari mpaka sasa hilo halijafanyika acheni kuwarusha roho watoto wa watu.
 
Labda ni uelewa wangu mdogo; ila siamini kama UFAULU umeongezeka. KIlichofanywa ni kupandisha marks za WALIOFELI KWELI na kuwafikisha PAKUFAULU!!!!! Swali ni JE, WAMEFAULU KWELI AU WAMEFAULISHWA???

usitake kurudisha maendeleo nyuma walio kagua wana akir timamu
 
Matokeo mapya ya kidato cha nne 2012; yule aliyemchora MESSI amepata Div II 20, aliyeandika bongo fleva div II 18, wa matusi kapiga Div I point 14 na aliyemchora Zombie kasahau kuvaa viatu an div I point 7.......n.k. Tunawashukuru walimu kwa kusahihisha kwa usahihi na uaminifu.........
 
hapa ni kutengeneza taifa la vilaza so hizo alama mpya zitaanza kutumika lini sasa
 
Sasa haya matokeo ni ya mtihani wa taifa wa f4 2012 au ni matokeo ya mtihani wa Kawambwa f4 2013? hivi kwa akili ya watanzania wenye akili hii si kiini macho cha CCM na serikali yake? waSOMI NISAIDIENI HAPA....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom