frolian mwebesa Jr
Member
- Aug 27, 2014
- 26
- 0
Jaman samahanini naomba nieleweshe hiv kuwa hivi kidato cha nne anaweza kwenda kusomea clinical officers katika vyuo vya serikali na application zao zimekaa vipi
jee unaaplaia chuoni au una apply wizarani na ni mda gani wanaanza kuapply naombeni nieleweshwe na kuhusu matokeo yake yuko na distinction ya 3.7 na phy-B+ na chem-B na bios-B+ math-B naombeni mnieleweshe kwakwel.
jee unaaplaia chuoni au una apply wizarani na ni mda gani wanaanza kuapply naombeni nieleweshwe na kuhusu matokeo yake yuko na distinction ya 3.7 na phy-B+ na chem-B na bios-B+ math-B naombeni mnieleweshe kwakwel.