Kidato cha pili kuna jinamizi gani kupelekea wafunzi wengi kupata mimba?

Kidato cha pili kuna jinamizi gani kupelekea wafunzi wengi kupata mimba?

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Ukizungumza na mabinti ambao hawakuweza kuendelea na shule kwasababu ya ujauzito, wengi wao watakwambia walipata mimba walipokuwa kidato cha pili.

Sasa nauliza kidato cha pili kuna jinamizi gani?
 
Ukizungumza na mabinti ambao hawakuweza kuendelea na shule kwasababu ya ujauzito,wengi wao watakwambia walipata mimba walipokuwa kidato cha pili.sasa nauliza kidato cha pili kunajinamizi gani?
Na ukienda kwenye kale katopick ka reproduction ndo utaelewa kwel kipindi hcho ndo kipindi watoto wanakuwa kwenye peak ya foolish age na kubalehe
 
Kweli kabisa wengi uacha shule wakifika kidato cha pili,

Na wengi uanza umalaya wakifikia kidato hiki.
 
Bweni baadhi wanakuwa chakuka ya wenzao
Mimi nimeanza kushuhudia majamaa Mashoga' class kipindi hicho sijui hata ushoga nini na usagaji yaan nilishangaa wanaume wananyonyana midomo na wanawake wananyonyana midomo alafu wanashindana hapo nipo darasa la 6 kuna binti alikua kirukaruka jamaa wakampiga mande akashika mimba darasa la 6
 
Mimi nimeanza kushuhudia majamaa Mashoga' class kipindi hicho sijui hata ushoga nini na usagaji yaan nilishangaa wanaume wananyonyana midomo na wanawake wananyonyana midomo alafu wanashindana hapo nipo darasa la 6 kuna binti alikua kirukaruka jamaa wakampiga mande akashika mimba darasa la 6
Hatari sana

Uko sahihi mimi tukiwa primary wavulana na wasichana walikuwa wanacheza mpira "tobo busu."

Mtu akipigwa tobo inabidi wenzake wamdandie na kuanza kumla denda labda awahi kwenda kushika sehemu fulani ambayo wamekubaliana ukishika hakuna wa kukupiga denda

Basi wasichana wengi wakawa wanajifanyisha kupigwa matobo ili mradi waliwe mate oyaaa sio poa baadhi walipigwa suspension ilipofika kwa walimu

Hiyo ni miaka ya zamani piga picha sasa hivi. Mashuleni kuna ushoga na usagaji sana. Vibinti vinatombwa sio poa
 
Ukizungumza na mabinti ambao hawakuweza kuendelea na shule kwasababu ya ujauzito, wengi wao watakwambia walipata mimba walipokuwa kidato cha pili.

Sasa nauliza kidato cha pili kuna jinamizi gani?
Umri wa balehe huo
 
Mimi nimeanza kushuhudia majamaa Mashoga' class kipindi hicho sijui hata ushoga nini na usagaji yaan nilishangaa wanaume wananyonyana midomo na wanawake wananyonyana midomo alafu wanashindana hapo nipo darasa la 6 kuna binti alikua kirukaruka jamaa wakampiga mande akashika mimba darasa la 6
Hatari Sana,hii unadhani inachangia na nini?
 
Form 2 ni darasa tulokuwa tunakula adhabu dah!
Acha tu nikikumbuka enzi nipo kidato cha pili na gwaride tulilopigishwa ni hatari, kuna Mwl mmoja huyo hawezi kutoka akilini linapokuja swala na mboko yule bwana ni kama alisomea ku-inflict pain ni [emoji91]
 
Hatari sana

Uko sahihi mimi tukiwa primary wavulana na wasichana walikuwa wanacheza mpira "tobo busu."

Mtu akipigwa tobo inabidi wenzake wamdandie na kuanza kumla denda labda awahi kwenda kushika sehemu fulani ambayo wamekubaliana ukishika hakuna wa kukupiga denda

Basi wasichana wengi wakawa wanajifanyisha kupigwa matobo ili mradi waliwe mate oyaaa sio poa baadhi walipigwa suspension ilipofika kwa walimu

Hiyo ni miaka ya zamani piga picha sasa hivi. Mashuleni kuna ushoga na usagaji sana. Vibinti vinatombwa sio poa
Alooh mbona hatari sana hii aisee jmn mbona kama nguvu za kuzaa zinaniisha mmmhh mimi hoi.
 
Back
Top Bottom