Najiuliza katoa kidebe nyingnee? Au mkuu yupo ,3gNi shida siku hizi namwelewa sana.
Ila mkuu mbona ngoma imetoka muda zaidi ya miez 3
Nahisi wakati salome inatoka nlikuwa la sita au la tano...Dah, hebu imagine mimi bado ni teenager...
Aisee mi hata sina kumbukumbu ilitoka lini maana niliwakuta akina mr nice na dudu bayaNahisi wakati salome inatoka nlikuwa la sita au la tano...
kuna nyimbo inaitwa 'kidege' janjaro kaitoa?Style ya Dogo janja ya kuimba na kurap ni nzuri sana, aongeze juhudi zaidi na nidhamu katika game.
Kidege nyimbo nzuri sana
tuwekeeni link tuiskie.Hii inanikumbusha msiba wa Amina Chifupa nilikuwa nje sasa kurejea nimekaa napitia magazeti ya kitambo kwa sister nakuta Amina kaaga dunia nilishtuka kwa sauti haaa! Amina kafariki kila aliyekuwa jirani alinishangaa coz walikuwa hawajui kama sikuwepo na sikutaka kufafanua kwa nini sikujua
Hiyo kidebe ya mda kidogo mkuu sema ni wimbo mzuri sana audio na video zote dogo kajitahidi sana.
Utan mwingine Wa ngumi Kabisa yanduuh, kwan huko sobar house hamjawekewa v2 kama tv na redio mkuu?
youngkiller ameniboa xna dgo kajikoboa anatia kchefchefNgoma kali video pia nzur sema dgo kaniboa kwa kusem et anamzd uwezo young killer na dee hapo ndo kakoroga uji ambao hawez kunywa
youngkiller ameniboa xna dgo kajikoboa anatia kchefchef
nlimwonea huruma xna shishi alipomuulza kwnn kajchubua kwny bus la fiestaNdo mashabik mnavyotak awe so utulie
nlimwonea huruma xna shishi alipomuulza kwnn kajchubua kwny bus la fiesta