Kidnapping Chain

Kinacho fata ccm watakuwa na bidhaa kuzidi viwanda sasa.Mapaka zile za kujifutia chooni zina picha ya raisi
 
Nani wa kumfafsria Lucas??huyu memkwa amepotezwa na mdude PhD tafadhali tumsaidie.
 
Haya magenge unadai yalitenda hayo.. Hivi hamkurekodi hata tukio moja yaani hata mawasiliano yao ya mipango?

Watu wengine tuonyeshe proof la sivyo ni stori tu mnajitungia.

Ila nawe aiseee unamkumbuka sana sanaaaaaa.. Hadi umemfungulia uzi..
Ali kibao ni story?
 
Huna tofauti na yule alietunga kitabu cha kusadikika kuhusu utawala wa awamu ya tano, kile kitabu sidhani kama kimeuza hata copy 50
 

Utekaji Watu (Abductions) hapa nchini Tanzania ni tatizo kubwa sana ambalo lilianza tangu zamani Sana enzi za Utawala wa Awamu ya Kwanza ya Mwl. Nyerere. Janga hili halikuanza juzi au Jana.
Mzizi wa janga hili umeanzia katika Ubovu wa Katiba ya nchi pamoja na Ubovu wa Sheria zilizopo.
 
Unajua kwa nini yesu aliwaita wanafunzi wajinga.ndo taifa letu kwa sasa kwa maelezo yako unaweza kuwa level ya unaye msaidia anaweza kusema kwa nini uzi umeandikwa kingereza na kwa nini kulikuwa na kitabu cha nchi ya kusadikika au kaptula la max.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…