Kidogo nimpige vichwa huyu Daktari

Kidogo nimpige vichwa huyu Daktari

Mcheza Piano

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2024
Posts
562
Reaction score
1,339
Umri umeenda, upara umeanza kuninyemelea, naamini ni jambo la kawaida, sasa leo nimekutana na jamaa tulisoma nae, alikuwa na vijiakili vya darasani sasa amekuwa daktari wa binadamu.

Baada ya kuniona akaniambia natakiwa niache punyeto maana inanizeesha, aloo hasira zilipanda kidogo nimrukie vichwa dabo dabo.

Huyu dokta hana msaada zaidi ya kuongeza namba ya vifo tu huko hospitalini. Hapa kila nikijaribu kushtua napata picha ya yale maneno yake ya hovyo, dushe linalala kwa hasira.
 
Really unaniitia mademu, unaniitia magemu, hatuifanyi for fame hi kitu

Wazi tunaifanya kwa kitu, hatuifanyi kwa njaa, hatuifanyi kwa fame hii kitu
 
Umri umeenda, upara umeanza kuninyemelea, naamini ni jambo la kawaida, sasa leo nimekutana na jamaa tulisoma nae, alikuwa na vijiakili vya darasani sasa amekuwa daktari wa binadamu.

Baada ya kuniona akaniambia natakiwa niache punyeto maana inanizeesha, aloo hasira zilipanda kidogo nimrukie vichwa dabo dabo.

Huyu dokta hana msaada zaidi ya kuongeza namba ya vifo tu huko hospitalini. Hapa kila nikijaribu kushtua napata picha ya yale maneno yake ya hovyo, dushe linalala kwa hasira.
Haichekeshi, uchekeshaji sio kazi rahisi, you need to improve your thinking capabilities
 
Umri umeenda, upara umeanza kuninyemelea, naamini ni jambo la kawaida, sasa leo nimekutana na jamaa tulisoma nae, alikuwa na vijiakili vya darasani sasa amekuwa daktari wa binadamu.

Baada ya kuniona akaniambia natakiwa niache punyeto maana inanizeesha, aloo hasira zilipanda kidogo nimrukie vichwa dabo dabo.

Huyu dokta hana msaada zaidi ya kuongeza namba ya vifo tu huko hospitalini. Hapa kila nikijaribu kushtua napata picha ya yale maneno yake ya hovyo, dushe linalala kwa hasira.
Hii meseji itaponya wazee wengi humu. Hahahaha
 
Wapiga nyeto ni sawa na wavuta ndumu wanawasiwasi kuwa wanajulikana ila ukweli ni kwamba wanajulikana.Kwnza mpiga puri macho yanaingia ndani,kifua kinatuna sambamba na mkono wa kushoto halafu chini unapungua kama mtu mwenye polio.
 
Back
Top Bottom